BILIONI 6 KUMALIZA CHANGAMOTO YA MAJI SIHA- KILIMANJARO

Na, Majid Abdulkarim, Siha- Kilimanjaro Mbunge wa Jimbo la Siha (CCM) na Naibu Waziri wa Afya Dkt. Godwin Mollell amesema Shilingi bilioni 6 zilizotolewa na Rais Samia Suluhu Hassan zinaenda kutatua changamoto ya upatikanaji wa maji katika Jimbo hilo huku akiahidi neema zaidi kwa wananchi hao. Kauli hiyo ameitoa leo wakati wa ziara yake Jimboni…

Read More

Beki la Ivory Coast lakubali miwili Simba

HATIMAYE Wekundu wa Msimbazi, Simba wamefikia makubaliano na Racing Club Abidjan ya Ivory Coast kwa ajili ya kupata huduma ya beki wa kati, Chamou Karaboue, 24, huku Ahoua Jean Charles akitajwa kuwa nyuma ya dili hilo. Kwa mujibu wa taarifa inaelezwa Karaboue amekubali ofa ya kusaini Simba  mkataba wa miaka miwili wenye kipengele cha kuongeza…

Read More

WAKURUGENZI WA NBAA WATEMBELEA BANDA LA BODI

Mkurugenzi wa Huduma za Shirika NBAA CPA Kulwa Malendeja pamoja na Afisa Mtendaji Mkuu, APC Hotel & Conference Center CPA Wenceslaus W. Mkenganyi wakiwa kwenye picha ya pamoja na watumishi wa Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA) katika Maonesho ya 48 ya Biashara ya Kimataifa (Sabasaba) yanayofanyika katika viwanja vya…

Read More

Vyama vyaitupia lawama Takukuru rushwa za uchaguzi

Dar es Salaam. Baadhi ya vyama vya siasa vimeeleza mikakati yao ya ndani ya kukabiliana na rushwa, vikielekeza lawama kwa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), kwamba haina utashi wa kuikabili. Vyama hivyo vimetolewa kauli hiyo, wakati Takukuru ikisema kuna viashiria vya rushwa vimeanza kujionyesha wakati Taifa likielekea katika uchaguzi wa Serikali za…

Read More

Wachezaji vijana waonyeshe upekee 2024/2025

Ni Julai ambapo baadhi ya timu zimeanza rasmi kambi za maandalizi kwa ajili ya msimu mpya wa 2024/2025. Kwa wale wachezaji ambao timu zao bado hazijaanza kambi za maandalizi ya msimu, kwa sasa wapo wanamalizia likizo zao ingawa hapana shaka nao muda sio mrefu wataenda kujiandaa kama ambao wenzao wameanza sasa. Kuanza kwa maandalizi ya…

Read More