
TANZANIA KUWA NCHI YA KWANZA AFRIKA KUFANYA FILAMU NA NCHI YA KOREA KUSINI
Na Mwandishi Wetu RAIS wa Filamu Korea Kusini Yang Jongkon amesema Tanzania imechaguliwa kuwa nchi ya kwanza Africa kufanya movie na nchi hiyo huku akiahidi kuja nchini akiwa kuonana na waigizaj wa filamu. Akizungumza na baada ya waigizaji katika mji unaoongoza kwa filamu duniani ujulikanao kama Busan amesema Rais huyo wa filamu Korea kusini YANG…