Maonesho ya 48 ya Biashara ya Kimataifa yadhihirisha ukuaji wa Teknolojia Tanzania

Na Esther Mnyika, Mtanzania Digital Katibu Mkuu Kiongozi, Dk. Mosses Kusiluka, amesema kuwa Maonesho ya 48 ya Kimataifa ya Biashara ya mwaka 2024 yameonesha kuwa Tanzania imepiga hatua kubwa katika ukuaji na matumizi ya teknolojia. Amesema hayo Julai 4, 2024, alipotembelea maonesho hayo yanayofanyika katika Uwanja wa Mwalimu Nyerere, Barabara ya Kilwa. Dk. Kusiluka alibainisha…

Read More

Labour wahitimisha safari ya miaka 14 utawala wa Conservative UK

Chama cha Labour kimeshinda rasmi uchaguzi mkuu wa Uingereza 2024 uliofanyika jana Alhamisi baada ya kufikisha viti 326 vinavyohitajika. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa …(endele). Katika matokeo yaliyopitiwa na mashirika mbalimbali ya habari yanaashiria kuwa chama cha Labour kinachofuata siasa za mrengo wa kati kushoto kimepata viti 410 kati ya 650 bungeni, huku wahafidhina wa mrengo…

Read More

WASHIRIKI WA MAFUNZO IAWP WAPATA MWAROBAINI WA CHANGAMOTO YA AFYA YA AKILI – MWANAHARAKATI MZALENDO

Baadhi ya washiriki wa Mafunzo kwa askari wakike ukanda wa Afrika IAWP ambayo yanaendelea Abuja Nchini Nigeria wamesema kutoka na changamoto kubwa kwa baadhi ya watu wengi wanaokabiliwa na Afya akili wanakwenda kupambana na changamoto hiyo kutokana mafunzo waliyoyapata. Akiongea mara baada ya Mafunzo hayo Julai 03,2024 Jijini Abuja Nchini Nigeria Naibu Kamishna wa Polisi…

Read More

UN inakusanya dola milioni 4 kwa ajili ya kukabiliana na Kimbunga cha Beryl katika Karibiani – Masuala ya Ulimwenguni

Kimbunga cha Beryl, kimbunga kikali zaidi katika historia kuanzishwa mwezi Juni katika Bahari ya Atlantiki, ilifanya uharibifu ilipokumba Grenada, Saint Vincent na Grenadines na Jamaika. Hapo awali, hali ya unyogovu ya kitropiki, Beryl iliongezeka kwa kasi na kuwa kimbunga cha Kitengo cha 4 na kufikia daraja la 5 kwa muda mfupi, na upepo wa hadi…

Read More

TARURA WEKENI VIVUKO, BARABARA ZA PEMBEZONI NA TAA KWA USALAMA WA WATUMIAJI WA BARABARA – MHA. MATIVILA – MWANAHARAKATI MZALENDO

Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais-TAMISEMI (Miundombinu) Mhandisi Rogatus Mativila ameilekeza TARURA kuweka alama za vivuko vya watembea kwa miguu, barabara za pembezoni za watembea kwa miguu, taa za barabarani pamoja na za kuongozea magari kwa ajili ya usalama wa watumiaji wa barabara mpya ya mwangaza inayounganisha kisasa na medeli. Mhandisi Mativila ametoa maelekezo hayo…

Read More

Aliyechoma Moto Picha ya Mhe, Rais Sania Suluhu Hassan Jela Miaka Miwili – MWANAHARAKATI MZALENDO

Mahakama ya wilaya ya Rungwe mkoani Mbeya, imemhukumu kwenda jela miaka miwili au faini ya milioni 5 Shadrack Chaula kijana ambaye video yake ilisambaa mitandaoni akimkashifu na kuchoma picha inayomuonesha Rais Samia Suluhu Hassan Ikumbukwe kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Kamanda wa Polisi mkoa wa Mbeya SACP Benjamin Kuzaga,Julai 2 mwaka huu ilieleza kuwa…

Read More