Diwani Kata ya Ilala ajivunia utekelezaji wa Ilani

Na Winfrida Mtoi, Mtanzania Digital Diwani wa Kata ya Ilala Saady Kimji na  viongozi wengine wa Chama cha Mapinduzi(CCM) wa Kata hiyo wametembelea miradi mbalimbali,  huku akiwasilisha taarifa ya utekelezaji wa Ilani ya chama hicho  kwa kipindi cha 2023 hadi 2024. Akizungumza katika kikao cha Halmashauri Kuu ya Kata ya Ilala leo Julai 4, 2024…

Read More

UNDP yaionyesha njia Tanzania ya kuvuta uwekezaji zaidi

Dodoma. Shirika la Kimataifa la Maendeleo (UNDP) limesema ili Tanzania iweze kupanda zaidi daraja la uwezo wa kukopesheka (credit rating) na hivyo kuvuta uwekezaji zaidi ni lazima kuboresha usimamizi wa uchumi. Julai 2024, Taasisi ya Kimataifa inayojihusisha na ufanyaji tathmini kwa nchi kujua uwezo wake wa kukopesheka (Fitch Rating) ilieleza kuwa Tanzania bado ina uwezo…

Read More

Wadau wapendekeza njia kupambana na kukatika kwa intaneti

Dar es Salaam. Wakati watumiaji wa mtandao wa intaneti wakizidi kuongezeka nchini, wadau wa sekta ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano wameshauri watoa huduma hizo watafute njia mbadala pale inapotokea hitilafu. Msingi wa hoja hiyo umetokana na sakata la kukatika kwa mtandao wa intaneti Tanzania kwa zaidi za siku mbili kuanzia Mei 12, 2024 lililosababishwa…

Read More

RAIS NYUSI AKUTANA NA DKT. MWINYI ZANZİBAR RAIS NYUSI AKUTANA NA DKT. MWINYI ZANZİBAR

Rais wa Jamhuri ya Msumbiji Mheshimiwa Felipe Nyusi amekutana na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mheshimiwa Dkt. Hussein Ali Mwinyi Ikulu Zanzibar. Akizungumza na Dkt. Mwinyi Mheshimiwa Nyusi alitumia nafasi hiyo kumuaga kwa kuwa amemaliza kipindi chake cha uongozi nchini Msumbiji na kumshukuru kwa Ushirikiano aliompatia alipokuwa Waziri wa Ulinzi wa…

Read More

TCB yaja na huduma za ubunifu kidijitali maonesho Sabasaba

Benki ya Biashara Tanzania (TCB) ambayo ni moja ya taasisi ya kifedha inayoongoza kwa kutoa bidhaa bunifu za kifedha zinazokidhi mahitaji ya wateja wake, imetoa wito kwa Watanzania kujiunga na huduma za ADABIMA na KIKOBA ambazo zinalenga kuongeza ujumuishi wa kifedha na kuimarisha uchumi na kuongeza pato la Taifa. Anaripoti Mwandishi Wetu …(endelea). ADABIMA ni…

Read More

NIC yavuka mipaka ya nchi kutoa huduma za Bima

*Ni katika soko la COMESA la nchi 13 Na Mwandishi Wetu NIC Insurance imeweka mkakati wa kuongeza wigo wa huduma katika kufika kila sehemu yenye mahitaji kwa kuvuka nje ya mipaka zilizo na ushirikiano na nchi yetu. Katika kutanua uwigo huo sasa NIC insurance imekuja na huduma ya Bima ya COMESA inapatikana katika matawi yote…

Read More