
Kampuni ya DL GROUP kulipa wafanyakazi ndani siku saba
MWEKEZAJI wa viwanda na mashamba ya chai yaliyopo mkoani Iringa na Njombe amesema Kampuni ya DL Group ipo mbioni kulipa mishahara ya miezi miwili kwa wafanyakazi wake wote wa viwandani na mashambani ndani ya siku saba kuanzia leo tarehe 4 Julai 2024. Anaripoti Mwandishi Wetu, Njombe…(endelea). Akizunzungumza na waandishi wa habari leo Alhamisi miongoni mwa…