Baleke, Yanga jambo lao lipo hivi

HIZI huenda zikawa taarifa za kushtukiza kwa mashabiki wa soka nchini, kwamba baada ya Yanga kumbeba Clatous Chama kutoka Simba na Prince Dube aliyekuwa Azam, sasa inafanya mipango ya kumshusha kikosini, Jean Baleke aliyewahi kuwika na Wekundu wa Msimbazi hata miezi sita tu iliyopita. Ndio, hivi unavyosoma Mwanaspoti ni kwamba kuna uwezekano wa asilimia 99…

Read More

Latra yabuni mfumo kuonyesha safari ya abiria

Dar es Salaam. Ikiwa unatarajia kupokea mgeni anayesafiri kwa basi kutoka mkoa wowote nchini, hutahitaji tena kukaa muda mrefu kituoni, kwani taarifa kuhusu basi zitapatikana kwenye simu yako. Ni baada ya Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Ardhini (Latra) kubuni Mfumo wa Habari kwa Abiria (Passenger Information System au Passenger Information Display – PIS). PIS…

Read More

Nkumba achaguliwa mwenyekiti mpya CCM Tabora

Tabora. Mkuu wa Wilaya ya Chato, Said Nkumba amechaguliwa kuwa mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Tabora kujaza nafasi ya Hassan Wakasuvi aliyefariki ghafla Februari 22, 2024. Wakasuvu alifariki ofisini wakati akimsubiri Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi CCM Taifa, Fadhil Maganya, aliyetarajiwa kufanya ziara siku hiyo katika Mkoa wa Tabora. Kutokana na kifo…

Read More

AKILI ZA KIJIWENI: Mamelodi wameonyesha ukubwa kwa Mokwena

HAIKUONEKANA kama maisha yangeenda kasi kwa kocha wa mpira Rhulani Mokwena baada ya mafanikio aliyoipa Mamelodi Sundowns. Miezi michache iliyopita aliongeza mkataba wa kuitumikia timu hiyo kwa miaka minne zaidi kwa kile ambacho kilitafsiriwa na wengi kwamba kuna imani ya uongozi kwa kocha huyo. Mataji matatu ambayo aliiongoza Mamelodi Sundowns kunyakua msimu uliomalizika yalionekana yangekuwa…

Read More

Viwanja vinne kutumika Ligi ya kikapu Mara

MASHINDANO ya Ligi ya Kikapu Mkoa wa Mara yanatarajiwa kuanza Julai 7 mwaka huu, huku katibu mkuu wa chama cha mchezo huo cha mkoa huo, Koffison Pius akitangaza viwanja vinne vitakavyotumika kwa ngarambe hiyo ya kusaka bingwa. Akizungumza na Mwanaspoti kwa njia ya simu kutoka Mara, Pius alitaja viwanja hivyo ni Musoma Matumaini, Chuo cha…

Read More

Ligi ya Kikapu Dar vita yaanza upya

ILE vita ya Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL) imeanza upya wakati mechi za mzunguko wa pili zikitarajiwa kupigwa kwa watetetezi Dar City kuliamsha mbele ya Ukonga Kings. Mchezo huo wa kibabe, utapigwa kwenye Uwanja wa Don Bosco Oysterbay keshokutwa Jumapili, utafuatiwa na michezo mingine mitano itakayowapa burudani mashabiki wa mchezo wa…

Read More