Shinikizo laiandama serikali ya Kenya kutuliza maandamano – DW – 04.07.2024

Hali imeanza kurejea ya kawaida katika jiji kuu la Nairobi kufuatia siku kadhaa za purukushani na maandamano yaliyowaua zaidi ya 40. Tofauti na ilivyokuwa Jumanne wiki hii pale polisi walipovurugana na waandamanaji, eneo la katikati ya jiji lilikuwa tulivu huku maafisa wa usalama wakipiga doria.  Waandamanaji 187 waliokamatwa wakati wa purukushaniwameachiliwa kwa dhamana. Kwa mujibu…

Read More

Nida yawaita wenye vitambulisho vya Taifa visivyo na ubora vichapwe upya

Dodoma. Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (Nida) imeanza kuchapa upya vitambulisho vilivyochapishwa chini ya kiwango, hivyo imewataka wenye navyo kuviwasilisha katika ofisi zake zilizo karibu nao vichapwe upya. Hayo yamesemwa leo Alhamisi Julai 4, 2024 na Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Nida, Geofrey Tengeneza alipozungumza na Mwananchi. Amesema hatua hiyo imetokana na malalamiko kutoka kwa…

Read More

KESI YA MAUAJI: Daktari aeleza mtoto Masumbuko alivyofariki kwa kukosa hewa

Geita. Shahidi wa sita katika shauri la mauaji linalomkabili Zephania Ndalawa, anayeshtakiwa kwa kumuua kwa kukusudia Thomas Masumbuko, ameieleza Mahakama namna alivyokuta mwili wa marehemu ukiwa na kinyesi na mkojo huku ulimi ukiwa umetoka nje. Shahidi huyo, Clever Shaban ambaye ni Ofisa Tabibu katika Zahanati ya Senga iliyopo wilayani Geita, aliyeufanyia uchunguzi mwili wa marehemu,…

Read More

Ishu ya Beno tatizo ni msimamo

ALIYEKUWA kipa wa Singida BS, Beno Kakolanya amemaliza utata, akisema misimamo yake imekuwa ikimponza kwa watu wakimchukulia kama mtovu wa nidhamu. Beno aliyeondoka Singida kiutata dakika za lala salama za Ligi Kuu Bara, kwa kilichoelezwa ni utovu wa nidhamu wakati chama hilo likiwa na mechi ngumu dhidi ya Yanga, aliliambia Mwanaspoti kuwa, yeye ni mchezaji…

Read More

Shule ya Kamsamba, Tunduma day zapata wenyeviti wapya

WAJUMBE wa kamati ya bodi ya shule ya sekondari ya Kamsamba na shule ya kutwa ya  Tunduma zinazomilikiwa na jumuiya ya wazazi (CCM) mkoani Songwe wamewachagua wenyeviti watakaoongoza vikao vya shule hizo. Anaripoti Ibrahim Yassin, Songwe…(endelea). Uchaguzi huo umefanikiwa leo tarehe 4 Juni 2024 katika shule ya sekondari ya kutwa iliyopo halmashauri ya mji Tunduma…

Read More