MBUNGE MTATURU AITAKA RUWASA KUKAMILISHA MRADI MAPEMA

MBUNGE wa Singida Mashariki Miraji Mtaturu,akizungumza kwenye ziara katika Kata ya Kikio kwa ajili ya kutoa mrejesho wa Bunge la Bajeti 2024/2025,kuhamasisha uchaguzi wa serikali za mitaa,vijiji na vitongoji 2024 na kusikiliza kero za wananchi. ……. MBUNGE wa Singida Mashariki Miraji Mtaturu amefanya ziara katika Kata ya Kikio na kukagua mradi wa maji wa kijiji…

Read More

MTATURU AITAKA RUWASA KUKAMILISHA MRADI MAPEMA

  MBUNGE wa Singida Mashariki Miraji Mtaturu,akizungumza kwenye ziara katika Kata ya Kikio kwa ajili ya kutoa mrejesho wa Bunge la Bajeti 2024/2025,kuhamasisha uchaguzi wa serikali za mitaa,vijiji na vitongoji 2024 na kusikiliza kero za wananchi. ……. MBUNGE wa Singida Mashariki Miraji Mtaturu amefanya ziara katika Kata ya Kikio na kukagua mradi wa maji wa…

Read More

BALOZI NCHIMBI KUFANYA MKUTANO WA HADHARA LINDI

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Emmanuel Nchimbi leo alasiri anatarajiwa kuzungumza na wananchi wa Lindi kwenye mkutano mkubwa wa hadhara utakaofanyika Uwanja wa Mpilipili, Mjini Lindi. Balozi Nchimbi na msafara wake, atapokelewa rasmi asubuhi ya leo katika Ofisi za CCM za Mkoa huo, ambapo atafanya kikao na Kamati ya siasa na baadaye…

Read More

Elimu ya amali, mwanga mpya wa elimu Tanzania

Katika ulimwengu wa sasa, ambapo mabadiliko ya kiteknolojia na mahitaji ya soko la ajira yanabadilika kwa kasi, uwekezaji katika elimu ya ujuzi unakuwa na umuhimu mkubwa kuliko elimu ya nadharia. Tanzania imeamua kubadilisha mtalaa wake ili kuendana na mahitaji haya, jambo ambalo lilipongezwa na wadau mbalimbali akiwamo Mbunge wa Kahama, Jumanne Kishimba, aliyejipambanua kama mtetezi…

Read More

Maafisa wa Umoja wa Mataifa wasikitishwa na kulenga raia huku kukiwa na mapigano mapya nchini Myanmar – Global Issues

Mapigano makali yalizuka mapema mwezi Julai mashariki mwa Myanmar, na kusambaratisha usitishaji mapigano kati ya wanajeshi na muungano wa makabila matatu yenye silaha ambayo yaliungana mwezi Oktoba mwaka jana dhidi ya utawala wa kijeshi. Ripoti zinaonyesha kuwa makundi ya kikabila yenye silaha yameteka miji muhimu ya kikanda, wakati tatmadaw – kama vile jeshi la Myanmar…

Read More

Kinachosababisha vuta nikuvute kati ya wazazi na watoto

Kila mtoto anapozaliwa anakuwa na kipaji alichopewa na Mungu. Kimakuzi, vipaji hivyo huanza kuonekana mtoto akiwa mdogo na ndio maana wataalamu wanapendekeza wazazi kuanza kuchunguza vipaji vya watoto katika umri huo. Ukifuatilia historia za baadhi ya watu maarufu duniani, utagundua kuwa wengi walionyesha mwelekeo wa hicho wanachokifanya sasa tangu wakiwa na umri chini ya miaka…

Read More

NCHIMBI KUUNGURUMA MKOANI LINDI LEO

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), DK. Emmanuel Nchimbi leo alasili atahutubia mkutano mkubwa wa hadhara kwenye Uwanja wa Mpilipili Mjini Lindi. Asubuhi atafanyiwa mapokezi rasmi katika Ofisi za CCM za Mkoa huo, ambapo atafanya kikao na Kamati ya siasa na baadaye mkutano wa ndani wa viongozi wa chama wa Mkoa huo Lengo la…

Read More

WALIMU WAONYWA KUELEKEZA FEDHA ZA MIKOPO KWENYE ANASA

Na Pamela Mollel,Michuzi Walimu wanaochukua mikopo kwenye taasisi mbali mbali za kifedha wametakiwa kuelekeza fedha hizo kwenye shughuli za uwekezaji na zinazozalisha ili ziwasaidie kulipika kuliko kuzitumia kwenye matumizi ya anasa.Rai hiyo imetolewa na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Meru, Zainabu Makwinya wakati akifungua kongamano la siku ya walimu maarufu kama ‘Mwalimu Spesho’ iliyoandaliwa na Benki…

Read More