Ziara ya Aweso yaimarisha huduma ya Maji Dar

Hali ya huduma ya maji kwa maeneo mbalimbali katika jiji la Dar es salaam na Pwani imeendelea kuimarika ikienda sambamba na ziara ya kikazi ya Waziri wa Maji, Mhe.Jumaa Aweso (Mb) iliyohitimishwa leo, Julai 4,2024 katika Wilaya za Kigamboni na Kinondoni. Katika ziara hiyo Mhe. Aweso alitembelea maeneo mbalimbali ikiwa ni pamoja na mitambo ya…

Read More

Aweso amtwisha zigo bosi mpya Dawasa

Dar es Salaam. Waziri wa Maji, Jumaa Aweso ametoa maagizo matano kwa Kaimu Ofisa Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (Dawasa), Mkama Bwire ikiwemo kushughulikia changamoto ya mishahara kwa wafanyakazi. Mengine ni ukamikishaji wa ujenzi wa Ofisi ya Dawasa Kigamboni, kutafuta mambomba na kuwaunganishia maji wananchi, kuwapatia usafiri…

Read More

MAANDALIZI YA SIKU YA KISWAHILI COMORO YAIVA

Balozi wa Tanzania nchini Comoro,Saidi Yakubu amewahimiza wapenzi wa lugha ya Kiswahili nchini Comoro kujitokeza kwa wingi Siku ya Jumapili ili kukienzi Kiswahili katika Hafla Rasmi waliyoandaa kwenye Ukumbi wa Bunge mjini Moroni. Balozi Yakubu aliwaeleza waandishi wa habari kuwa maandalizi yote ya Maadhimisho hayo yamekamilika ambapo Gavana wa Kisiwa cha Ngazidja yalipo makao makuu…

Read More

Mchango wa Samia matibabu ya Sativa waiibua UVCCM

Dar es Salaam. Siku 12 tangu alipopotea na baadaye kupatikana akiwa na majeraha, Edgar Mwakabela ‘Sativa’, Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) imeibuka na kuzungumzia sakata hilo huku ukishauri vijana kusimama kwenye misingi ya kidemokrasia na kujadiliana kwa hoja. Katibu Mkuu wa umoja huo, Jokate Mwegelo amesema kujadiliana kwa hoja ndio msingi wa…

Read More

Geita Gold mambo yametiki | Mwanaspoti

HOFU kubwa ya mashabiki wa soka mkoani Geita ilikuwa ni hatma ya Geita Gold baada ya kushuka daraja kutoka Ligi Kuu kama Halmashauri ya mji huo itaendelea kuimiliki na kushiriki Championship, lakini wameshushwa presha kwani uongozi umekubali na sasa mipango imeanza kusukwa. Timu hiyo ilishuka daraja msimu ulioisha na sasa inajiandaa kushiriki Ligi ya Championship…

Read More

TANZANIA, QATAR KUSHIRIKIANA SEKTA YA UTALII

Na Happiness Shayo- Dar es Salaam Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na nchi ya Qatar ziko mbioni kusaini Hati ya Makubaliano (Memorandum of Understanding-MOU) kushirikiana katika nyanja mbalimbali za Sekta ya Maliasili na Utalii. Hayo yamebainika leo Julai 4,2024 wakati wa kikao kati ya Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Angellah Kairuki (Mb)…

Read More