Naibu waziri Kapinga awahakikishia umeme wa uhakika wananchi

Naibu Waziri wa Nishati. Mhe. Judith Kapinga amesema Serikali inaendelea kuwasimamia kwa umakini wakandarasi ili waweze kukamilisha kazi zao kwa wakati na kwa ufanisi, pia amewaelekeza Wakala wa Nishati Vijijini (REA) kuhakikisha wanaongeza nguzo 40 ambazo ni Sawa na kilometa mbili kwa wananchi wa vijiji vya Manzwagi na Kidunyashi kabla ya tarehe 27 Julai, 2024….

Read More

Kanuni kutambua makazi nje ya hoteli kwa watalii zaandaliwa

Unguja. Baada ya kuwapo makazi holela ya watalii wanaofikia kwenye nyumba binafsi, Wizara ya Utalii na Mambo ya Kale kwa kushirikiana na Kamisheni ya Utalii Zanzibar, imeweka kanuni za makazi kwa watalii wasiofikia hotelini ambazo zitatumika kwa watoa huduma wa makazi hayo. Akitangaza kanuni hizo katika mkutano wa wadau wa utalii Julai 4, 2024, Waziri…

Read More

Kagera SUGAR kushusha mashine mpya 12

KIKOSI cha Kagera Sugar kitaanza maandalizi ya kujifua na msimu mpya Jumatatu Julai 8, mwaka huu mjini Bukoba huku kikitarajiwa kushusha mashine mpya 12 na kuweka kambi yake mkoani Shinyanga kusaka utulivu. Mastaa wa timu hiyo walipaswa kuwasili mjini Bukoba kuanzia juzi (Jumatano) na kambi kuanza Alhamisi lakini kutokana na changamoto mbalimbali maandalizi hayo yamesogezwa…

Read More

Benki ya NMB yaweza Kukopesha hadi Sh. Bilioni 515 Kwa Mkupuo Mmoja ‘Single Borrower Limit’ – MWANAHARAKATI MZALENDO

NA MWANDISHI WETU; Kupitia Maonesho ya 48 ya Kimataifa ya Biashara Tanzania, yanayoendelea jijini Dar es Salaam, Benki ya NMB imeeleza ina uwezo wakukopesha hadi Sh.Bilioni 515 kwa mkupuo mmoja ‘single borrower limit’ kwa sababu yakufanya vizuri kwenye soko la Tanzania. Hayo yamesemwa na Meneja wa NMB Tawi la Sabasaba, Bi. Kidawa Masoud, katika banda…

Read More

Serikali ya Angola inazidi kushambulia demokrasia – DW – 04.07.2024

Mwanaharakati Florindo Chivucute ametoa mwito kwa Rais Joao Lourenco wa kuendeleza demokrasia nchini Angola kwa manufaa ya watu wote wa nchi hiyo. Katika mwito huo mwanaharakati Chivucute amesema rais Joao anapaswa kuubadilisha mwelekeo wa nchi na kwamba hawezi kuendelea kuongoza kama jinsi ilivyokuwa mnamo miaka iliyopita. Soma pia: Upinzani Angola wawasilisha shauri kupinga matokeo ya urais Inapasa…

Read More

Theresa, Gaguti waula soka la wanawake Mwanza

WIKI chache baada ya kuchaguliwa kuwa Mwenyekiti mpya wa Chama cha Soka la Wanawake (TWFA) Mkoa wa Mwanza, Sophia Tigalyoma amefanya uteuzi wa nafasi tano kikatiba na kukamilisha safu yake ya uongozi atakayofanya nayo kazi kusimamia soka hilo mkoani hapa. Tigalyoma alichaguliwa katika uchaguzi mkuu uliofanyika Juni 8, mwaka huu jijini hapa, akishinda pamoja na…

Read More