Mjumbe wa Umoja wa Mataifa anakaribisha maendeleo ya kidemokrasia kati ya vurugu za kutisha – Masuala ya Ulimwenguni

Maria Isabel Salvador, Mwakilishi Maalum wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa nchini Haiti, akitoa maelezo kwa mabalozi katika mkutano huo. Baraza la Usalamakuangazia ufungaji wa Baraza la Urais wa Mpito mwezi Aprili na kuapishwa kwa Waziri Mkuu wa muda na serikali mpya mwezi Juni kama “viashiria vya wazi vya maendeleo.” Haiti imejiingiza katika mzozo…

Read More

Aliyeshtakiwa kwa kumuua, kumzika mumewe aachiwa huru

Arusha. Mahakama Kuu Masijala ndogo ya Sumbawanga, imemwachia huru Limi Shija, mkazi wa Kijiji cha Kabage, aliyekuwa akikabiliwa na kesi ya kumuua na kumzika mumewe, Masunga Kashinje, baada ya upande wa mashtaka kushindwa kuthibitisha kosa hilo bila kuacha shaka. Ilidaiwa kuwa mauaji hayo yalitokana na ugomvi baina ya wanandoa hao kuhusu mashamba na ng’ombe kadhaa…

Read More

Vurugu polisi na wananchi: Askari ajeruhiwa, gari lavunjwa kioo

Rombo. Umezuka mtafaruku kati ya polisi wilayani Rombo, mkoani Kilimanjaro na wananchi wenye hasira katika Kijiji cha Ubetu na kusababisha askari mmoja kujeruhiwa kichwani na gari la jeshi hilo kuvunjwa kioo. Wananchi hao walisababisha madhara hayo wakidai askari wa jeshi hilo waliwavamia na mitutu ya bunduki wakiwa kwenye sherehe. Hata hivyo, Kamanda wa Polisi Mkoa wa…

Read More