Mambo tisa yatakayoamua uchaguzi mkuu Uingereza

London. Raia wa Uingereza wakipiga kura leo kuchagua wabunge, uchaguzi huo unatazamwa kwa sera za vyama vya siasa na jinsi zitakavyoathiri mataifa mengine, hasa ya Afrika, zikiwemo sera za uhamiaji, elimu na mpango wa Rwanda kuwapokea wahamiaji. Masuala mengine yanayopangaliwa katika uchaguzi huo ni pamoja na ukuaji wa uchumi, afya, uhalifu, ulinzi na usalama, makazi…

Read More

Biteko awataka Watanzania kulinda viumbe hai baharini

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko amewataka Watanzania kulinda viumbe vya baharini na kuhifadhi mazingira ya bahari kwa ajili ya vizazi vilivyopo na vizazi vijavyo. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Dk. Biteko amesema hayo leo tarehe 4 Julai 2024 wakati akifungua kongamano la Tatu la Uchumi wa Buluu mwaka 2024 yenye…

Read More

UCHUMI UKIIMARIKA, RIBA BoT YASALIA ASILIMIA 6

•⁠ ⁠Mfumuko wa bei wapungua, Utayari wananchi kulipa kodi waongezeka huku Akiba fedha za kigeni ikiwa ya kutosha Na Leandra Gabriel,Dar es Salaam UCHUMI Wa Tanzania umeendelea kuimarika kutokana na utekelezaji wa sera thabiti na maboresho mbalimbali yenye lengo la kukuza uchumi unaotarajiwa kuimarika kwa siku zijazo kutokana jitihada za uboreshaji wa miundombinu hususani reli,…

Read More

Simba SC yamtambulisha Abdulrazack kutoka Super Sport

Klabu ya Simba imemsajili Abdulrazack Mohamed Hamza kutoka Super Sport ya Afrika Kusini kwa mkataba wa miaka miwili. Simba imemtambulisha mchezaji huyo mchana huu, ikiwa ni muendelezo wa hatua ya kuwatambulisha wachezaji wapya waliosajiliwa na klabu hiyo kwa ajili ya msimu mpya wa Ligi Kuu Bara na Michuano ya Kimataifa. Taarifa ya Simba iliyochapishwa kwenye…

Read More

Uwezeshwaji wawekezaji Sekta binafsi chanzo mafanikio NSSF

Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF), Masha Mshomba amefichua siri ya mafanikio makubwa ambayo NSSF imeyapata kuwa yamechangiwa na Serikali ya Awamu ya Sita chini ya uongozi wa  Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa namna anavyohamasisha wawekezaji katika sekta binafsi, kuweka mazingira mazuri na kuwezesha kupata waajiri na wanachama wengi…

Read More

Rais Biden agoma kujitoa uchaguzi Novemba, aangukia pua kura za maoni

RAIS wa Marekani, Joe Biden amekataa kujitoa kwenye uchaguzi wa Novemba, wakati kukiwa na shinikizo kumtaka ajitoe kwenye kinyang’anyiro hicho baada ya kushindwa kwenye mdahalo wake na Donald Trump wiki iliyopita. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa … (endelea). Msemaji wake, Karine Jean-Pierre, amekanusha kuwa Biden alimuambia mmoja wa washirika wake wa karibu kwamba uwezekano wa yeye…

Read More

Sheria mpya ya uwekezaji kunusuru mashirika ya umma yasife

“Waziri kaniambia ile Sheria ya Msajili wa Hazina tayari imeshakamilika na iko tayari kusomwa kwa mara ya pili bungeni. Kwa hiyo naomba wabunge nendeni kaijadilini, mnapoona hapako vizuri turekebisheni, lakini ile sheria ipite ili apate mwongozo wa kumwongoza huyu (Msajili wa Hazina). “Lakini jingine, tuwe na uwezo sasa wa kuanzisha Mfuko wa Uwekezaji. Tutakapoanzisha Mfuko…

Read More