
Waingereza kuifuta historia ya Conservatives leo?
Waingereza milioni 50 wanatarajiwa kupiga kura kwenye uchaguzi mkuu leo Alhamisi, huku kiongozi wa chama cha upinzani cha Labour akitabiriwa kumbwaga waziri mkuu wa sasa, Rishi Sunak, baada ya miaka 14 ya utawala wa chama cha Conservatives. Inaripoti Mitandao ya Kimataida … (endelea). Uchunguzi wa maoni ya wapigakura unaonesha kwamba Keir Starmer wa Labour atapata…