*Asema mazingira mazuri ya uwekezaji chini ya uongozi wa Mhe. Rais Dkt. Samia yamechochea mafanikio Na MWANDISHI WETU, Dar es Salaam. Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko
Month: July 2024

Wakala ya Barabara Tanzania ( TANROADS), imepokea tuzo maalum kutoka kwa Rais wa Jamhuri ya Msumbiji Mheshimiwa Filipe Nyusi na Rais Mwenyeji wa Jamhuri ya

Waandamanaji wa Kenya wamemtaka Rais William Ruto ajiuzulu baada ya takriban watu 39 kuuawa na 361 kujeruhiwa katika maandamano ya kupinga ushuru katika muda wa

Naibu Waziri wa Nishati. Mhe. Judith Kapinga amesema Serikali inaendelea kuwasimamia kwa umakini wakandarasi ili waweze kukamilisha kazi zao kwa wakati na kwa ufanisi, pia

“Mama (Rais Samia Suluhu Hassan) angeandika historia ya kukumbukwa milele na Watanzania kama kwenye utawala wake atafanikisha upatikanaji wa Katiba Mpya,” ni kauli ya mwanasiasa

DODOMA Jiji imeanza mazungumzo ya kupata saini ya kiungo wa Namungo, Pius Buswita baada ya kuridhishwa na uwezo wake. Nyota huyo wa zamani wa Mbao,

Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi wa Chama Cha Mapinduzi Taifa Comrade Marry Pius Chatanda ameongoza Kongamano la Mafunzo ya Matokeo ya Sensa kwa Makundi mbalimbali

Dar/Unguja. Kama ilivyoripotiwa kwenye gazeti hili kwamba, mgomo wa wafanyabiashara ulioanza Kariakoo, Dar es Salaam na baadaye kusambaa maeneo mengine nchini utawang’oa vigogo wa Mamlaka

· Kupitia kampeni hii, wateja wateweza kununua simu janja kwa mawakala waliodhinishwa na Samsung kupitia malipo nafuu ya mkopo ya kuanzia shilingi 1200 pekee kwa siku,

VIGOGO vya soka nchini, Simba, Yanga na Azam FC vipo bize kushusha na kutambulisha mashine mpya kwa ajili ya msimu utakaoanza Agosti, kiasi huko mtaani