MSHOMBA AFICHUA SIRI MAFANIKIO YA NSSF

*Asema mazingira mazuri ya uwekezaji chini ya uongozi wa Mhe. Rais Dkt. Samia yamechochea mafanikio  Na MWANDISHI WETU, Dar es Salaam. Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF), Bw. Masha Mshomba amefichua siri ya mafanikio makubwa ambayo NSSF imeyapata kuwa yamechangiwa na Serikali ya Awamu ya Sita chini ya uongozi wa…

Read More

NAIBU WAZIRI KAPINGA AWAHAKIKISHIA UMEME WA UHAKIKA WANANCHI WA VIJIJI VYA MANZWAGI NA KIDUNYASHI.

Naibu Waziri wa Nishati. Mhe. Judith Kapinga amesema Serikali inaendelea kuwasimamia kwa umakini wakandarasi ili waweze kukamilisha kazi zao kwa wakati na kwa ufanisi, pia amewaelekeza Wakala wa Nishati Vijijini (REA) kuhakikisha wanaongeza nguzo 40 ambazo ni Sawa na kilometa mbili kwa wananchi wa vijiji vya Manzwagi na Kidunyashi kabla ya tarehe 27 Julai, 2024….

Read More

Vita vya kodi mtihani kwa vigogo TRA

Dar/Unguja. Kama ilivyoripotiwa kwenye gazeti hili kwamba, mgomo wa wafanyabiashara ulioanza Kariakoo, Dar es Salaam na baadaye kusambaa maeneo mengine nchini utawang’oa vigogo wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), hatimaye imetokea. Juzi usiku, Rais Samia Suluhu Hassan alifanya mabadiliko kwa kumuondoa aliyekuwa Kamishna wa TRA, Alphayo Kidata na kumteua Yusuf Mwenda kushika wadhifa huo kwenye…

Read More

Msimu ujao labda msilete timu

VIGOGO vya soka nchini, Simba, Yanga na Azam FC vipo bize kushusha na kutambulisha mashine mpya kwa ajili ya msimu utakaoanza Agosti, kiasi huko mtaani na kwenye mitandao ya kijamii mashabiki na wapenzi wanatambiana. Wale wa Yanga wanawatania Simba wakiwatisha eti labda wasipeleke timu uwanjani kwani badala ya kupigwa 7-2 kama msimu uliopita, safari hii…

Read More