Geita. Katika hali isiyotarajiwa, shahidi wa tatu kwenye kesi inayomkabili Zephania Ndalawa anayeshtakiwa kwa kosa la kuua kwa kukusudia, amemtambua Jaji Graffin Mwakapeje kama mtuhumiwa
Month: July 2024

MABOSI wa Tabora United wameanza mazungumzo na aliyekuwa kocha mkuu wa Dodoma Jiji, Francis Baraza kwa ajili ya msimu ujao. Taarifa kutoka ndani ya kikosi

Mwanza. Takwimu zinaonyesha sekta ya bima Kanda ya Ziwa imechangia Sh47 bilioni pekee kwenye Pato la Taifa, sawa na asilimia 0.084. Ukosefu wa elimu, ugumu

MABOSI wa Simba wanaendelea kushusha mashine mpya kwa ajili ya kutengeneza kikosi cha msimu ujao, lakini kiungo nyota wa timu hiyo, Fabrice Ngoma ameshindwa kujizuia

YANGA imeanza kutoa ‘thank you’ kimyakimya, ambapo imeshawaaga nyota wawili akiwemo kipa, Metacha Mnata na kiungo mmoja, Zawadi Mauya. Yanga imemuaga aliyekuwa kipa wa timu,

Watafiti kutoka Taasisi ya Utafiti wa Kilimo Tanzania (TARI) wametoa wito kwa wadau mbalimbali wa kilimo na biashara kutumia fursa ya Maonesho ya 48 ya

Na Esther Mnyika, Mtanzania Digital Rais wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan, amesema kuwa mauzo ya nje ya bidhaa za Tanzania yalipanda kutoka shilingi trilioni

Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania July 4, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma Magazetini kenya. The post

Iliyotolewa Jumatano na Ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa Kufuatilia Haki za Binadamu nchini Ukraine (HRMMU), the ripoti alielezea ugumu wa maisha wa raia, ikiwa

Na Esther Mnyika, Mtanzania Digital Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limeelezea furaha na shukrani zake kwa wadau wake kwa kutambua mchango wake katika utoaji wa