
CCM TANGA KUTUMIA MILIONI 35 KUWAPELEKA DARASANI MADEREVA DALADALA JIJINI TANGA
MJUMBE wa Kamati Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Rajabu Abdurhaman ambaye pia ni Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Tanga akizungumza na wakati wa mapokezi yake yaliyofanyika kwenye ofisi za CCM Mkoa wa Tanga akitokea Jijini Dodoma ambapo Kamati kuu ya CCM Taifa ilimteua katika nafasi hiyo. MJUMBE wa Kamati Kuu ya Chama cha…