WAZAZI na walezi wametakiwa kuwa na aina au mfumo wa malezi ya Kidemokrasia ikiwemo kujenga mahusiano mazuri pamoja na kutilia maanani hisia za mtoto au
Month: July 2024

SHIRIKA la Umeme Tanzania (TANESCO) limeshukuru wadau kwa kutambua mchanguo wao katika utoaji huduma bora kwa wananchi na kupelekea kupata tuzo ya mtoa huduma bora

Dar es Salaam. Wataalamu na wadau wa afya nchini Tanzania wameshauri mambo saba yatakayosaidia mlo wa siku kutoharibu mwili ikiwemo kuepuka chumvi nyingi na sukari.

Mkopo: STR/AFP kupitia Getty Images Maoni na Andrew Firmin (london) Jumatano, Julai 03, 2024 Inter Press Service LONDON, Julai 03 (IPS) – Jeshi la Myanmar,

Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Godbless Lema amesema Rais Samia Suluhu Hassan hakutakiwa kutoa mchango wa kugharamia matibabu ya mtu anayedaiwa

Na Mwandishi Wetu, Dodoma BOHARI ya Dawa (MSD) imetaja mafanikio lukuki ambayo imeyapata hadi Juni mwaka huu, huku ikiweka wazi mageuzi makubwa iliyoyapanga kuyafanya kwa

*Atoa kauli hii Banda la TIC Sabasaba Na Mwandishi Wetu , Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan na Mgeni

Mwanza. Wakati Shirika la Ndege la Taifa (ATCL) likitarajia kupokea ndege mpya aina ya Boeing 787- 8 Dreamliner, shirika hilo limeshauriwa kuboresha huduma kwa wateja

Siha. Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Nurdin Babu ametoa siku 30 kwa halmashauri za mkoa huo kufuatilia na kurejesha mikopo ya asilimia 10 iliyotolewa kwa

NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV KATIBU Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara, Dkt. Hashil Abdallah amekipongeza Chuo Cha Elimu ya Biashara (CBE) kwa mafanikio