TANESCO YASHINDA TUZO YA UTOAJI HUDUMA BORA SABASABA

SHIRIKA la Umeme Tanzania (TANESCO) limeshukuru wadau kwa kutambua mchanguo wao katika utoaji huduma bora kwa wananchi na kupelekea kupata tuzo ya mtoa huduma bora iliyotolewa na Rais Dkt Samia Suluhu Hassan wakati wa ufunguzi wa Maonesho ya 48.ya biashara ya kimataifa. Akizungumza mara baada ya kupata tuzo hili Afisa masoko TANESCO makao makuu Innocent…

Read More

Lema ataka kauli ya Rais matukio ya utekaji

Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Godbless Lema amesema Rais Samia Suluhu Hassan hakutakiwa kutoa mchango wa kugharamia matibabu ya mtu anayedaiwa kutekwa bali aagize vyombo vyake vya ulinzi na usalama kuwakamata watekaji na waliotekwa wapatikane. Lema amesema Rais kwa nafasi yake ya Amiri Jeshi Mkuu anapaswa kuhakikisha anasimamia usalama, ulinzi na…

Read More

RC Mtanda aipa mbinu ATCL kuhimili soko la ushindani

Mwanza. Wakati Shirika la Ndege la Taifa (ATCL) likitarajia kupokea ndege mpya aina ya Boeing 787- 8 Dreamliner, shirika hilo limeshauriwa kuboresha huduma kwa wateja na kuongeza idadi ya safari ili kuvutia wateja na kustahimili kwenye soko la usafirishaji wa anga nchini. Wito huo umetolewa leo Jumatano Julai 3, 2024, na Mkuu wa Mkoa wa…

Read More

CBE YAPONGEZWA KWA MAFANIKIO MAKUBWA NDANI YA MIAKA 60

NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV KATIBU Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara, Dkt. Hashil Abdallah amekipongeza Chuo Cha Elimu ya Biashara (CBE) kwa mafanikio yake ndani ya miaka 60 na kusisitiza umuhimu wa Chuo hicho katika kutoa elimu bora ya biashara na kuandaa wataalamu wenye ujuzi. Pongezi hizo amezitoa leo Julai 3, 2024 wakati…

Read More