Kocha mpya Simba huyu hapa, kutua Ijumaa na fulu mziki

UONGOZI wa klabu ya Simba umempa mkataba wa miaka miwili aliyekuwa kocha msaidizi wa Raja Casablanca, Fadlu David anayeelezwa atatua nchini Ijumaa sambamba na wasaidizi wake. Kocha huyo ambaye amethibitisha ujio wake Tanzania baada ya kutumia ukurasa wake mtandao wa kijamii ‘Instagram’ kuwaaga viongozi, wachezaji na mashabiki wa timu aliyokuwa akiifundisha. “Ulikuwa ni wakati mzuri,…

Read More

DKT.DIMWA : ATAJA KIPAUMBELE CHA CCM

NAIBU Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar Dkt.Mohamed Said Dimwa,akizungumza na wanachama wa CCM wa Shina namba 12 Jimbo la Chumbuni Zanzibar. NAIBU Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar Dkt.Mohamed Said Dimwa,akizungumza na wanachama na wananchi kwa ujumla katika Tawi la CCM Masumbani Unguja. NAIBU Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi…

Read More

Watanzania wapewa mbinu kupata fursa za Kiswahili kimataifa

Dar es Salaam. Wataalamu wa lugha ya Kiswahili wamewataka Watanzania wenye uweledi katika taaluma ya Kiswahili kujisajili katika kanzi data ya Baraza la Kiswahili la Taifa (Bakita) ili zinapotokea fursa mbalimbali zinazotokana na kukua kwa lugha hiyo iwe rahisi kuwafikia. Fursa hizo ni pamoja na ufundishaji wa lugha hiyo katika nchi mbalimbali, Tafsiri na Ukalimani…

Read More

Rais Samia, Nyusi wapongeza mkakati wa utanuzi PBZ, yakaribishwa kufungua tawi Msumbiji

Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amepongeza jitihada zinazofanywa na Benki ya Watu wa Zanzibar (PBZ) kupitia mkakati wake wa kujitanua katika mikoa mbalimbali nchini hususani Tanzania Bara, huku Rais wa Msumbiji Filipe Nyusi akiuomba uongozi wa benki hiyo kufungua tawi lake nchini Msumbiji. Anaripoti Mwandishi Wetu …(endelea). Kwa mujibu wa Rais Samia mkakati wa…

Read More

Mtoto anayetumia vidole vya miguu kuandika, kula aomba msaada

Malinyi. Mwanafunzi Hamisi Haji, mkazi wa Mtimbila Wilaya ya Malinyi mwenye ulemavu wa viungo, ameiomba Serikali na wadau mbalimbali kumsaidia aweze kuendelea na masomo ya kidato cha tano. Mtoto huyo anatumia vidole vya miguu kuandika na kufanya shughuli nyingine na  amefaulu kidato cha nne na kuchaguliwa kujiunga na kidato cha tano, lakini amekosa matumaini ya…

Read More

Lusajo atua Dodoma Jiji | Mwanaspoti

KLABU ya Dodoma Jiji imekamilisha uhamisho wa aliyekuwa mshambuliaji wa Mashujaa, Reliants Lusajo kwa mkataba wa mwaka mmoja huku kukiwa na kipengele cha kuongeza mwingine baada ya kuvutiwa na uwezo aliouonyesha msimu uliopita. Nyota huyo aliyeanza msimu na Namungo kisha Januari akajiunga na Mashujaa kwa miezi sita, amejiunga na kikosi hicho baada ya kuvutiwa na…

Read More

RAIS SAMIA ATATUA KILIO CHA WANANCHI WA MITIMIREFU

Na. Majid Abdulkarim, Siha Serikali chini ya Uongozi imara wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan umeipatia Kata ya Mitimirefu kiasi cha Shilingi Milioni 584 kwa ajili ya ujenzi wa Shule mpya ya Sekondari ili kutatua adha ya wanafunzi wa kata hiyo kutembea zaidi ya kilomita 14 kila siku…

Read More