Jaji Mkuu atoa onyo kwa mawakili, aipa kazi TLS

Dar es Salaam. Jaji Mkuu wa Tanzania, Profesa Ibrahim Juma amewakubali na kuwapokea mawakili wapya 555 na kuwasajili katika daftari la mawakili nchini, huku akiwaonya mawakili wenye utovu nidhamu. Pia, amekitaka Chama cha Mawakili Tanganyika (TLS) kuwasimamia wanachama wake ili waweze kutekeleza majukumu yao kwa kuzingatia maadili na uaminifu katika utoaji haki nchini. Profesa Juma…

Read More

Stars mtegoni Afcon 2025 | Mwanaspoti

WAKATI droo ya kuwania Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (Afcon) 2025 zitakazopigwa Morocco ikifanyika leo, timu ya taifa ‘Taifa Stars’ ipo katika mtego wa kuangukia kundi gumu au mchekea kwenye droo hiyo ya upangajwaji wa makundi itakayochezeshwa leo Afrika Kusini. Katika droo hiyo ambayo itachezeshwa jijini Johannesburg kuanzia saa 9:30 alasiri kwa muda…

Read More

Bwire Mtendaji mpya DAWASA

Mhandisi Mkama Bwire ameteuliwa kushika nafasi ya Kaimu Afisa Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar Es Salaam (DAWASA) katika kikao maalum cha Waziri wa Maji na Bodi ya Wakurugenzi DAWASA kilichofanyika leo tarehe 3 Julai, 2024 ofisi za DAWASA Dar Es Salaam. Taarifa iliyotolewa na Idara ya Mawasiliano DAWASA imesema…

Read More

Bwire mtendaji mpya Dawasa – Millard Ayo

Mhandisi Mkama Bwire ameteuliwa kushika nafasi ya Kaimu Afisa Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar Es Salaam (DAWASA) katika kikao maalum cha Waziri wa Maji na Bodi ya Wakurugenzi DAWASA kilichofanyika leo tarehe 03 Julai, 2024 ofisi za DAWASA Dar Es Salaam. Mhandisi Bwire ni Mtumishi wa Wizara ya Maji…

Read More

Mahakama yapokea vielelezo vinne kesi mauaji ya Masumbuko

Geita. Mahakama Kuu Masijala ndogo ya Geita, imepokea vielelezo vinne vilivyotolewa na upande wa Jamhuri katika kesi ya mauaji inayomkabili Zephania Ndalawa anayeshtakiwa kwa kosa la kumuua Thomas Masumbuko. Katika kesi hiyo iliyoko chini ya Jaji Graffin Mwakapeje vielelezo vilivyopokelewa mahakamani hapo ni pamoja na hati ya dharura ya upekuzi, shoka lililotumika kumjeruhi mtu lililotolewa…

Read More

FANYENI KAZI USIKU NA MCHANA JENGO LA TAMISEMI LIKAMILIKE – MHA. MATIVILA 

OR-TAMISEMI Naibu Katibu Mkuu anayeshughulikia Miundombinu Ofisi ya Rais – TAMISEMI Mhandisi Rogatius Mativila amemuelekeza mkandarasi anayejenga Jengo la Ofisi ya Rais – TAMISEMI Mtumba kufanya kazi usiku na mchana ili kukamilisha kwa haraka. Mhandisi Mativila ameyasema hayo wakati wa ziara yake katika Jengo hilo ambalo linajengwa kwenye Mji wa Serikali Mtumba jijini Dodoma leo…

Read More