Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: July 2024

  • Home
  • 2024
  • July
  • Page 282
Habari

Putin asifu uhusiano imara kati ya Urusi na China – DW – 03.07.2024

July 3, 2024 Admin

Kabla ya kuanza mkutano huo Putin na Xi wamefanya mikutano ya pembezoni na viongozi kadhaa wanaohudhuria mkutano huo mjini Astana, nchini Kazakhstan.  Viongozi wa nchi

Read More
Burudani

Mvutano wa kisheria, tuhuma kuchoma picha ya Rais

July 3, 2024 Admin

Dar/Mbeya. Siku nne tangu Jeshi la Polisi mkoani Mbeya limkamate Shadrack Chaula (24), kijana anayetuhumiwa kuchoma moto picha ya Rais Samia Suluhu Hassan, suala hilo

Read More
Michezo

JEAN CHARLES AHOUA NI MNYAMA – MWANAHARAKATI MZALENDO

July 3, 2024 Admin

Klabu ya Simba imefanikiwa kuinasa saini ya kiungo mshambuliaji Ahoua Jean Charles raia wa Ivory Coast kwa mkataba wa miaka miwili. Ahoua mwenye umri wa

Read More
Habari

Serikali yatoa ajira kwa vijana 150 kiwanda cha glovu Idofi

July 3, 2024 Admin

Makambako. Uzalishaji wa mipira ya mikononi (glovu) katika Kiwanda cha Idofi cha Bohari Kuu ya Dawa (MSD) kilichopo Halmashauri ya Mji wa Makambako mkoani Njombe,

Read More
Habari

Rais Samia, Nyusi Wapongeza Mkakati wa Utanuzi Benki ya PBZ, Yakaribishwa Kufungua Tawi Msumbuji.

July 3, 2024 Admin

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amepongeza jitihada zinazofanywa na Benki ya Watu wa Zanzibar (PBZ) kupitia mkakati wake wa kujitanua

Read More
Michezo

Huyu hapa mrithi wa Chama Msimbazi

July 3, 2024 Admin

KLABU ya Simba imefikia makubaliano ya kumsajili aliyekuwa kiungo mshambuliaji wa Stella Adjame ya Ivory Coast, Jean Charles Ohoua kwa kandarasi ya miaka miwili. Nyota

Read More
Habari

Wananchi wahofia kulipuka volcano Kigoma

July 3, 2024 Admin

Kigoma. Mwenyekiti wa Kijiji cha Pamila, Wilaya ya Kigoma, Obedi Tuwazaniwe ameeleza namna tope linalozaniwa kuwa volcano lilivyozua taharuki kwa wakazi wa kijiji hicho, huku 

Read More
Habari

Ujumbe wa Rais wa Msumbuji akiwaaga Watanzania

July 3, 2024 Admin

Dar es Salaam. Zikiwa zimebaki siku 98 kabla ya Msumbiji kufanya uchaguzi wake mkuu, Rais wa Taifa hilo, Filipe Nyusi amewashukuru Watanzania kwa ushirikiano mkubwa

Read More
Michezo

Kaseba, Mandonga kuzipiga Mikoani | Mwanaspoti

July 3, 2024 Admin

BINGWA wa zamani wa Kick Boxing wa Dunia, aliwahi pia kutamba kwenye Ngumi za Kulipwa nchini, Japhet Kaseba sambamba na Karim Mandonga ni miongoni mwa

Read More
Habari

Kampuni 11 za Tanzania zaanza kunufaika biashara AfCFTA

July 3, 2024 Admin

Dar es Salaam. Kampuni 11 za Tanzania zimeanza kunufaika na ufanyaji wa biashara katika Eneo Huru la Biashara la Bara la Afrika (AfCFTA). Kampuni hizo

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 281 282 283 … 315 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.