Mvutano wa kisheria, tuhuma kuchoma picha ya Rais

Dar/Mbeya. Siku nne tangu Jeshi la Polisi mkoani Mbeya limkamate Shadrack Chaula (24), kijana anayetuhumiwa kuchoma moto picha ya Rais Samia Suluhu Hassan, suala hilo limeibua mvutano wa kisheria, ikielezwa hakuna sheria iliyovunjwa. Akizungumza na Mwananchi leo Julai 3, 2024 kuhusu kosa la kijana huyo na lini atafikishwa mahakamani, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya,…

Read More

Serikali yatoa ajira kwa vijana 150 kiwanda cha glovu Idofi

Makambako. Uzalishaji wa mipira ya mikononi (glovu) katika Kiwanda cha Idofi cha Bohari Kuu ya Dawa (MSD) kilichopo Halmashauri ya Mji wa Makambako mkoani Njombe, umeiwezesha Serikali kutoa ajira kwa vijana 150, huku ikiokoa Sh20 bilioni kwa mwaka zilizokuwa zikinunua kifaa tiba hicho nje ya nchi. Hayo yamebainishwa leo Jumatano Julai 3, 2024 na Kaimu…

Read More

Huyu hapa mrithi wa Chama Msimbazi

KLABU ya Simba imefikia makubaliano ya kumsajili aliyekuwa kiungo mshambuliaji wa Stella Adjame ya Ivory Coast, Jean Charles Ohoua kwa kandarasi ya miaka miwili. Nyota huyo raia wa Ivory Coast ametambulishwa ndani ya kikosi hicho ukiwa ni muda mfupi tu tangu aliyekuwa mchezaji wa timu hiyo, Mzambia Clatous Chama kujiunga na Yanga baada ya mkataba…

Read More

Wananchi wahofia kulipuka volcano Kigoma

Kigoma. Mwenyekiti wa Kijiji cha Pamila, Wilaya ya Kigoma, Obedi Tuwazaniwe ameeleza namna tope linalozaniwa kuwa volcano lilivyozua taharuki kwa wakazi wa kijiji hicho, huku  mtaalamu wa jiolojia mkoa akiwatoa hofu wananchi. Tuwazaniwe amezungumza jana Julai 2, 2024 mbele ya kamati ya ulinzi na usalama ya wilaya hiyo ilikwenda kujionea hali halisi kwenye eneo hilo….

Read More

Ujumbe wa Rais wa Msumbuji akiwaaga Watanzania

Dar es Salaam. Zikiwa zimebaki siku 98 kabla ya Msumbiji kufanya uchaguzi wake mkuu, Rais wa Taifa hilo, Filipe Nyusi amewashukuru Watanzania kwa ushirikiano mkubwa waliompa katika safari yake ya utawala wa miaka 10. Rais Nyusi amesema hayo leo Jumatano, Julai 3, 2024, katika sehemu ya hotuba yake ya ufunguzi wa Maonyesho ya 48 ya…

Read More

Kaseba, Mandonga kuzipiga Mikoani | Mwanaspoti

BINGWA wa zamani wa Kick Boxing wa Dunia, aliwahi pia kutamba kwenye Ngumi za Kulipwa nchini, Japhet Kaseba sambamba na Karim Mandonga ni miongoni mwa mabondi watakaozipiga katika mapambano maalumu ya hisani ya kusaidia jamii kupata Bima ya Afya. Mabondia hao na wengine watapambana mapambano hayo ya ngumi yatakayofanyika mwishoni mwa mwezi huu yakiandaliwa na…

Read More

Kampuni 11 za Tanzania zaanza kunufaika biashara AfCFTA

Dar es Salaam. Kampuni 11 za Tanzania zimeanza kunufaika na ufanyaji wa biashara katika Eneo Huru la Biashara la Bara la Afrika (AfCFTA). Kampuni hizo zimeanza kutumia fursa kwa kusafirisha bidhaa za kahawa, katani, viungo, karanga na tumbaku kwenda nchi mbalimbali Afrika ikiwemo Nigeria, Ghana, Algeria na Morocco. Hayo, yamebainishwa na Rais Samia Suluhu Hassan…

Read More