Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: July 2024

  • Home
  • 2024
  • July
  • Page 283
Michezo

Lugalo Open yateka wapiga fimbo 150 Dar

July 3, 2024 Admin

VUMBI na nyasi kutimka katika viwanja vya gofu vya Lugalo, ambavyo vitakuwa ni shuhuda wa miamba  zaidi ya 150 watakaokuwa kuwania tuzo mbalimbali za mashindano

Read More
Habari

Meneja wa TRA-Kibondo aliyekamatwa na Meno ya Tembo huyu hapa – MWANAHARAKATI MZALENDO

July 3, 2024 Admin

Jeshi la Polisi Wilaya ya Kibondo mkoani Kigoma linamshikilia Meneja wa Mamlaka ya Mapato Tanzania TRA wilayani humo Irving Mutegeki kwa tuhuma za kukutwa na

Read More
Habari

Biteko: Bora uitwe mshamba, lakini usimamie maadili

July 3, 2024 Admin

Dar es Salaam. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk Doto Biteko amesema kuna umuhimu mkubwa kwa jamii, wakiwamo vijana, wazazi, wanafunzi na Serikali

Read More
Habari

SERIKALI YAIPA TANROADS MWANZA BIL 58.27 KUJENGA DARAJA LA SIMIYU NA DARAJA LA SUKUMA

July 3, 2024 Admin

Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt. Samia Suluhu Hassan imetenga jumla ya Shilingi Bilioni 58.288

Read More
Habari

MAMELODI YAACHANA NA KOCHA RHULANI MOKWENA – MWANAHARAKATI MZALENDO

July 3, 2024 Admin

Mamelodi Sundowns na Rhulani Mokwena walihitimisha kwa amani makubaliano ya kusitisha ajira ya Rhulani Mokwena kama Kocha Mkuu. Sundowns imetoa shukurani zake kwa Rhulani Mokwena

Read More
Habari

Mufti azindua kitabu chake – Mtanzania

July 3, 2024 Admin

Na Winfrida Mtoi, Mtanzania Digital Mufti na Sheikh Mkuu wa Tanzania, Sheikh Dk. Abubakar Zubeir, amezindua kitabu chake kiitwacho ‘Mmomonyoko wa Maadili Nani Alaumiwe?’, ambapo

Read More
Habari

Takukuru yataja athari za rushwa kwenye uchaguzi

July 3, 2024 Admin

Dar es Salaam. Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) imesema rushwa ni chanzo cha kupatikana viongozi wasio na maadili, wasiozingatia misingi ya haki,

Read More
Habari

Serikali yaipa Tanroads Mwanza Bil 58.27 kujenga daraja la Simiyu na Sukuma

July 3, 2024 Admin

Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt. Samia Suluhu Hassan imetenga jumla ya Shilingi Bilioni 58.288

Read More
Habari

Hofu DRC juu ya M23 kuiteka miji zaidi wilaya ya Lubero – DW – 03.07.2024

July 3, 2024 Admin

Mapambano ambayo yanaendelea yanaripotiwa kuyakaribia maeneo yaliyo karibu na mji mdogo wa Lubero. Mapigano hayo ambayo yanaunyemelea mji mkuu wa wilaya ya Lubero, yalianza wiki

Read More
Habari

Aweso abaini uzembe na makusudi kwa baadhi ya watendaji DAWASA

July 3, 2024 Admin

Waziri wa maji Jumaa Aweso amesema amebaini uzembe na hujuma ya makusudi kutokana na watendaji wa Mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira (DAWASA)

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 282 283 284 … 315 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.