Lugalo Open yateka wapiga fimbo 150 Dar

VUMBI na nyasi kutimka katika viwanja vya gofu vya Lugalo, ambavyo vitakuwa ni shuhuda wa miamba  zaidi ya 150 watakaokuwa kuwania tuzo mbalimbali za mashindano ya wazi ya gofu yanayoanza kesho. Yakija kwa jina rasmi la Lugalo Open, ni mashindano ya siku tatu yatakayowashirikisha wacheza gofu ya kulipwa (mapro) na wale wa ridhaa, kwa mujibu…

Read More

Biteko: Bora uitwe mshamba, lakini usimamie maadili

Dar es Salaam. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk Doto Biteko amesema kuna umuhimu mkubwa kwa jamii, wakiwamo vijana, wazazi, wanafunzi na Serikali kwa ujumla, kusimamia maadili ya Kitanzania. Amesema ni bora mtu uitwe mshamba, lakini asimamie misingi na tabia zote njema zinazotambulika katika jamii na kuachana na maadili yasiyofaa. Biteko ameyasema hayo…

Read More

Mufti azindua kitabu chake – Mtanzania

Na Winfrida Mtoi, Mtanzania Digital Mufti na Sheikh Mkuu wa Tanzania, Sheikh Dk. Abubakar Zubeir, amezindua kitabu chake kiitwacho ‘Mmomonyoko wa Maadili Nani Alaumiwe?’, ambapo amesema kilichomsukuma kufanya hivyo ni hali ya kumomonyoka kwa maadili iliyopo kwa sasa nchini. Kitabu hicho chenye sura saba kimezinduliwa leo Julai 3,2024, BAKWATA Makao Makuu, jijini Dar es Salaam…

Read More

Takukuru yataja athari za rushwa kwenye uchaguzi

Dar es Salaam. Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) imesema rushwa ni chanzo cha kupatikana viongozi wasio na maadili, wasiozingatia misingi ya haki, usawa, uwazi, uwajibikaji na uzalendo. Taasisi hiyo pia imesema rushwa inadhoofisha utawala bora na demokrasia na baadhi ya wananchi wenye sifa za uongozi bora hushindwa ama kugombea, kutoteuliwa au kuchaguliwa…

Read More

Hofu DRC juu ya M23 kuiteka miji zaidi wilaya ya Lubero – DW – 03.07.2024

Mapambano ambayo yanaendelea yanaripotiwa kuyakaribia maeneo yaliyo karibu na mji mdogo wa Lubero. Mapigano hayo ambayo yanaunyemelea mji mkuu wa wilaya ya Lubero, yalianza wiki iliyopita, baada ya waasi wa M23 kuteka miji midogo na muhimu ya Kanyabayonga, Kirumba na Kaseghe.  Duru kutoka uwanja wa mapambano zimedokeza kuwa raia wengi wamekimbia makaazi yao na kuelekea Lubero…

Read More