TRA Kigoma yakiri mtumishi wake kudakwa na meno ya tembo

Kigoma. Jeshi la Polisi Mkoa wa Kigoma, limethibitisha kuwa linamshikilia Arving Bagisheki (39) akidaiwa kukutwa na meno mawili ya tembo ndani ya gari. Taarifa za kukamatwa kwa Bagisheki zilianza kusambaa jana kwenye mitandao ya kijamii zikitaja kuwa ni mtumishi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoani Kigoma. Mwananchi imezungumza na Meneja wa TRA Mkoa wa…

Read More

Mazungumzo ya Sudan ya vita na mafuriko yanawaacha watu wamenaswa, wasiweze kukimbia – Masuala ya Ulimwenguni

Ili kutoa msaada wa kuokoa maisha kwa wale waliolazimishwa kutoka Sudan, Ofisi ya Kamishna Mkuu wa Umoja wa Mataifa wa Wakimbizi (UNHCR), ilirekebisha rufaa yake ya awali ya $1.4 bilioni hadi $1.5 bilioni. Ewan Watson, Mkuu wa Mawasiliano ya Kimataifa katika shirika la Umoja wa Mataifa, alisema kuwa ufadhili huo utasaidia na kulinda hadi watu…

Read More

HESLB yaja na ‘Fichua’ kuwasaka wadaiwa sugu

Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imezindua Kampeni Maalumu inayolenga kuwashirikisha wananchi kwa kutumia simu na mitandao ya kijamii, kuwafichua wadaiwa sugu wa mikopo ya elimu ya juu. Kampeni hiyo, inayofahamika kama #Fichua imezinduliwa jijini Dar es salaam na Mkurugenzi Mtendaji wa HESLB Dkt. Bill Kiwia ambaye amesema kampeni hiyo itaendeshwa…

Read More

TETESI ZA USAJILI BONGO: Gift, Yanga SC kitaeleweka tu

Uongozi wa Yanga huenda ukaachana na beki wa kati wa kikosi hicho Mganda, Gift Fred, licha ya kubakisha mkataba wa miaka miwili. Beki huyo aliyejiunga na Yanga Julai 7, mwaka jana akitokea SC Villa ya Uganda, inaelezwa anaweza kuvunjiwa mkataba uliosalia ambao utafikia tamati Juni 30, 2026 ili kupunguza idadi ya wachezaji wa kigeni ambao…

Read More

Big Joe atoa Milioni 100 Vijana wakijue kitabu cha Mufti

Ni July 3, 2024 ambapo Mkurugenzi wa Clouds Media Group Joseph Kusaga promosheni ya kukitangaza kitabu yenye thamani ya Shilingi Millioni 100 kuhakikisha kitabu cha ‘Mmomonyoko wa Maadili Nani Alaumiwe?’ kilichondikwa na Mhe. Dkt. Abubakar Zubeir Bin Ally Mbwana, Mufti na Sheikh Mkuu wa Tanzania kinawafikiwa vijana wote Tanzania. “Mkurugenzi au Mwenyekiti wa Clouds Media…

Read More