Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Hamad Masauni amesema katika kipindi cha mwaka huu kuanzia Januari kumetokea matukio manane ya utekaji na asilimia kubwa
Month: July 2024

Dar es Salaam. Shahidi wa nne katika kesi ya ukahaba inayowakabili washtakiwa watano katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Sokoine Drive, ameikera mahakama kwa majibu ya

Uongozi wa Yanga huenda ukaachana na beki wa kati wa kikosi hicho Mganda, Gift Fred, licha ya kubakisha mkataba wa miaka miwili. Beki huyo aliyejiunga

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. Mohamed Mchengerwa amewataka Wakuu wa Mikoa na Wilaya nchini kuacha mara

Moscow, Urusi. Taarifa ya leo Jumatano, Julai 3, 2024 ya Ikulu ya Urusi inasema Rais wa nchi hiyo, Vladimir Putin amewasili nchini Kazakhstan ambapo atahudhuria

-Ampongeza Askofu Pisa kwa kuchaguliwa kuwa Rais wa TEC Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan anasisitiza ufanyaji kazi kwa ushirikiano kati

📌Azitaka taasisi za dini kushirikisha Serikali kusimamia maadili 📌Wizara ya Maendeleo ya Jamii Shirikisheni wadau 📌Azitaka taasisi za umma na Serikali kuwa mfano bora kwenye

Babati. Jeshi la Polisi mkoani Manyara linawasaka waendesha pikipiki za kubeba abiria maarufu bodaboda mjini Babati, kwa tuhuma za kumuua kijana anayedaiwa kuhusika na njama

Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano na Uhusiano kwa Umma (FCC) Roberta Feruzi akitoa elimu kuhusu (FCC) inavyofanyakazi kwa vijana waliotembelea Banda la (FCC) katika

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa na mgeni wake Rais wa Msumbiji Mhe. Filipe Jacinto Nyusi wakati wakitembelea mabanda