WASANII WA FILAMU BONGO KUJIFUNZA ZAIDI KOREA KUSINI – MWANAHARAKATI MZALENDO

Balozi wa Tanzania Korea Kusini, Ndg. Togolani Edriss Mavura amethibitisha kupokea ugeni wa Wasanii wa Filamu Tanzania nchini humo na kufanya mazungumzo ya namna ya kuendeleza ushirikiano na Korea kusini ili kupata ujuzi na uzoefu zaidi katika kukuza Tasnia ya Filamu nchini Tanzania. “Nimefanya mazungumzo na wasanii wa filamu wa Tanzania waliofika Ubalozini leo asubuhi….

Read More

Wananchi wanavyombana Waziri Aweso uhaba wa maji Dar

Dar es Salaam. Wakazi wa Wilaya ya Ubungo, jijini Dar es Salaam wamesema Serikali haiwezi kukwepa lawama ya kuwakosesha huduma ya majisafi, kwani moja ya jukumu lake ni kulinda usalama wao kwa kuwasogezea huduma muhimu. Hata hivyo, Waziri wa Maji, Jumaa Aweso amekubali hoja hiyo kwa kuwaomba msamaha, huku akieleza katika kukabiliana na ukubwa wa…

Read More

AHSANTENI SANA WANANCHI KWA KUTHAMINI HUDUMA YA POLISI

  Kamanda wa Polisi Mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) Augustino Senga Julai 01, 2024 alikagua Mradi wa Ujenzi wa kituo cha kata ya Mbangala kilichopo wilaya ya Songwe ambacho kimejengwa kwa nguvu ya wananchi wa kata hiyo na ujenzi wake bado unaendelea mpaka sasa kituo hicho kimeghalimu kiasi cha shilingi Milioni…

Read More

POLISI HANDENI WAPONGEZA MAFUNZO USALAMA BARABARANI KWA BODABODA

Na Mwandishi Wetu, Handeni JESHI la Polisi Kikosi cha Usalama Barabarani Wilaya ya Handeni mkoani Tanga, limesema ipo haja kwa waendesha bodaboda wilayani humo kuendelea kupatiwa mafunzo ya usalama barabarani kupunguza ajali. Akizungumza wakati wa mafunzo ya usalama barabarani kwa waendesha bodaboda zaidi ya 160, Kaimu Kamanda wa Kikosi cha Usalama Barabarani Wilaya ya Handeni…

Read More

TUME YA MADINI YAENDELEA KUTOA ELIMU KWA WADAU WA MADINI

Tume ya Madini leo Julai 03, 2024 imeendelea kutoa elimu kwa wadau wa madini katika Maonesho ya Kimataifa ya Sabasaba yanayoendelea jijini Dar es Salaam. Elimu imetolewa katika maeneo ya usimamizi/udhibiti wa Sekta ya Madini na ukusanyaji wa mapato ya Serikali yatokanayo na tozo mbalimbali zinazotokana na shughuli za madini, utoaji na usimamizi wa leseni…

Read More

Mambo sita yaliyombeba Mwenda ZRA, yanayomsubiri TRA

Unguja. Wakati Yusuph Mwenda akiteuliwa kuwa Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), mambo sita yanatajwa kumbeba katika ufanisi na kuimarisha mapato wakati akiwa Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Zanzibar (ZRA) ikiwa ni pamoja na kujenga ukaribu na wafanyabiashara kulipa kodi kwa hiari. Mwenda anakuwa bosi wa TRA baada ya aliyekuwa anashikilia nafasi…

Read More