Balozi wa Tanzania Korea Kusini, Ndg. Togolani Edriss Mavura amethibitisha kupokea ugeni wa Wasanii wa Filamu Tanzania nchini humo na kufanya mazungumzo ya namna ya
Month: July 2024

Dar es Salaam. Wakazi wa Wilaya ya Ubungo, jijini Dar es Salaam wamesema Serikali haiwezi kukwepa lawama ya kuwakosesha huduma ya majisafi, kwani moja ya

Mapema leo, mwenyekiti wa Taasisi ya Mama Ongea na Mwanao (MOM) akiongoza wasanii wa Filamu Tanzania kwenye kikao rasmi na Balozi wa Tanzania nchini Korea

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) Augustino Senga Julai 01, 2024 alikagua Mradi wa Ujenzi wa kituo cha

Mkuu wa Wilaya ya Mvomero Mhe. Judith Nguli amemtaka aliyekuwa Mkandarasi wa ujenzi wa mradi wa maji katika kitongoji cha Sokoine Ranchi kulipa madeni yake

Dar es Salaam. Waziri wa Mambo ya Ndani, Hamad Masauni amesema Tanzania iko salama na vitendo vya utekaji havipaswi kukaliwa kimya, akirejea chapisho la gazeti

Na Mwandishi Wetu, Handeni JESHI la Polisi Kikosi cha Usalama Barabarani Wilaya ya Handeni mkoani Tanga, limesema ipo haja kwa waendesha bodaboda wilayani humo kuendelea

Tume ya Madini leo Julai 03, 2024 imeendelea kutoa elimu kwa wadau wa madini katika Maonesho ya Kimataifa ya Sabasaba yanayoendelea jijini Dar es Salaam.

Daraja la J.P. Magufuli (Kigongo – Busisi) lenye urefu wa Kilomita 3.0 na barabara unganishi Kilomita 1.66 linatarajiwa kuanza kutumika Tarehe 30 Disemba 2024 likiunganisha

Unguja. Wakati Yusuph Mwenda akiteuliwa kuwa Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), mambo sita yanatajwa kumbeba katika ufanisi na kuimarisha mapato wakati akiwa