Kesi za mauaji kuendelea kuunguruma Geita leo

Geita. Wakati Mahakama Kuu Masijala ndogo ya Geita ikiendelea na kikao cha pili cha kesi za mauji hapa Mjini Geita leo, tayari kesi mbalimbali zimesikilizwa na kutolewa hukumu ikiwemo ya Anold Shemasi aliyedaiwa kumuua mtoto wake mchanga kwa kutofanana nae.  Mahakama hiyo ilimehukumu kunyongwa hadi kufa Shemas, baada ya kumtia hatiani kwa kosa la kumuua…

Read More

Gaza ni 'maelstrom ya taabu ya binadamu' – Global Issues

Huduma za umma zimeporomoka na zaidi ya milioni 1.9 sasa wamekimbia makazi yao, aliwaambia mabalozi katika Baraza la Usalamaikisisitiza hitaji muhimu la usitishaji vita kamili, wa haraka na kamili, kuachiliwa kwa mateka wote na usaidizi usiozuiliwa katika eneo lote. “Vita hivyo havijaleta janga la kibinadamu tu, bali vimeibua msukosuko wa taabu za wanadamu.,” alisema. Sheria…

Read More

Kesi za mauaji ya Mielembe kuendelea kunguruma Geita leo

Geita. Wakati Mahakama Kuu Masijala ndogo ya Geita ikiendelea na kikao cha pili cha kesi za mauji hapa Mjini Geita leo, tayari kesi mbalimbali zimesikilizwa na kutolewa hukumu ikiwemo ya Anold Shemasi aliyedaiwa kumuua mtoto wake mchanga kwa kutofanana nae.  Mahakama hiyo ilimhukumu kunyongwa hadi kufa Shemas, baada ya kumtia hatiani kwa kosa la kumuua…

Read More