
MHE. MHAGAMA: OFISI YA WAZIRI MKUU IMEJIPANGA KUENDELEA KUHUDUMIA WANANCHI
*Amewataka watumishi wa Ofisi ya Waziri Mkuu kuendelea kuhudumia wananchi kwa weledi Na. Mwandishi Wetu – Dar es Salaam Serikali kupitia Ofisi ya Waziri Mkuu imesema itaendelea kuwahudumia wananchi na kuhakikisha wanapata huduma bora na kwa wakati unaotakiwa kwa lengo la kuwaletea maendeleo na Taifa kwa ujumla. Kauli hiyo imetolewa tarehe 03 Julai, 2024 na…