Chuo cha afya Nobo kuzalisha wataalam wengi wa mionzi

Na mwandishi Wetu Chuo Cha Afya Nobo kilichopo Tabata Segerea Ilala Jijini Dar es Salaam, kimekuja na mkakatiwa kupunguza uhaba wa wataalam wa mionzi hapa nchini kwa kuanzisha kozi ya fani hiyo. Mkuu wa Chuo hicho Michael Mbasha , aliwaambia waandishi wa habari jana kwamba mwakahuu chuo kitafundisha Stashahada ya Uchunguzi wa Magojwa kwa kutumia…

Read More

Kidata na nyota ya uteuzi wa marais watatu

Dar es Salaam. Hii ndiyo safari ya milima na mabonde ya uongozi wa Alphayo Kidata mmoja wa viongozi wa ngazi juu anayehamishwa hamishwa kupelekwa ofisi muhimu za Serikali kuhudumu kwa nyakati tofauti. Jina la Kidata lilianza kuchomoza zaidi mwaka 2013 alipoteuliwa na aliyekuwa Rais wa awamu ya nne, Jakaya Kikwete kuwa Katibu Mkuu wa Wizara…

Read More

Sativa afanyiwa upasuaji kwa saa sita

Dar es Salaam. Mkazi wa Mbezi, jijini Dar es Salaam, Edgar Mwakabela maarufu Sativa aliyetoweka Juni 23 na kupatikana Juni 27 pori la Hifadhi ya  Katavi akiwa na majeraha katika mwili wake, amefanikiwa kufanyiwa upasuaji wa taya la kushoto lililosagika baada ya kudaiwa kupigwa risisa ya kichwa. Sativa alipatikana Juni 27, katika hali mbaya akiwa…

Read More

Mwamuzi afariki akichezesha mechi | Mwanaspoti

Mkoa wa Songwe umeendelea kukumbwa na matukio ya vifo vya wanamichezo wakiwa uwanjani baada ya Julai 2, 2024 mwamuzi Hedman Mwashoga kuanguka na kufariki. Mwamuzi huyo alikuwa akichezesha mechi baina ya Monaco dhidi ya Viena FC kwenye Uwanja wa Shule ya Msingi Msanyila katika mwendelezo wa Ligi ya Kijiji cha Msanyila mkoani humo. Hili ni…

Read More

Mastaa BDL walivyoiteka Taifa Cup

BAADHI ya wachezaji wanaocheza katika Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL) waliocheza katika mikoa mbalimbali kwenye mashindano ya kombe la taifa mjini Dodoma walikuwa kivutio kutokana na kuonyesha ubora. Wachezaji hao ni Haji Mbegu, Ally Faraji (Dar City) walioichezea Unguja na Mwalimu Heri pamoja Evance Davies (Outsiders) walioichezea timu ya Mkoa wa…

Read More

JIWE LA SIKU: Safari ya Chama  ilianzia katika 5-1

BAADA ya muda mrefu wa kuhusishwa kwa muda mrefu kusajiliwa na Yanga, hatimaye mapema Jumatatu, wiki hii Clatous Chama alitambulishwa rasmi na klabu hiyo kama mchezaji wao mpya. Chama amejiunga na Yanga akiwa mchezaji huru baada ya mkataba wake wa miaka miwili na Simba kufikia tamati, Juni 30 mwaka huu na klabu hiyo kuamua kutomuongezea…

Read More

EWURA YATOA BEI MPYA KIKOMO ZA MAFUTA

Mamlaka ya Uthibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), imetangaza bei kikomo za bidhaa za mafuta ya petroli hapa nchini zitakazotumika kuanzaia Jumatano ya Julai 3, 2024 saa 6 Usiku. Bei hizo zimeelezewa kama ifuatavyo;#BEI : EWURA Yatangaza Bei Kikomo za Bidhaa za Mafuta mwezi Julai 2024 Pakua: ✓http://ewura.go.tz/fuel-prices/ #beikikomoJulai2024 #beizamafuta #capprices #petrolprice #petrofuel…

Read More

Chama aaga Simba | Mwanaspoti

Kiungo fundi wa mpira, Clatous Chama amefunga rasmi ukurasa wake ndani ya Simba SC baada ya kutoa ujumbe wa kuaga kwenye kikosi hicho cha Msimbazi ikiwa ni siku chache tangu kutangazwa kujiunga na watani wao wa jadi na mabingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Yanga SC. Chama aliyeitumikia Simba kwa miaka Sita, ameishukuru klabu hiyo…

Read More

UONGOZI WA JMAT WATEMBELEA BANDA LA SUPERDOLL TANZANIA SABASABA

NA EMMANUEL MBATILO, DAR ES SALAAM UONGOZI wa Jumuiya ya Maridhiano na Amani Tanzania (JMAT) ikiongozwa na mwenyekiti wake Taifa Shekh Alhad Mussa Salum wametembelea banda la Kampuni ya Superdoll Tanzania kwenye Maonesho ya 48 ya Biashara kimataifa Dar es salaam SABABASA, kujionea bidhaa mbalimbali ambazo zinazalishwa na kusambazwa na kampuni hiyo. Akizungumza na katika Maonesho hayo jana…

Read More