Na, Mwandishi Wetu – Dar Es Salaam Waziri Mkuu Mstaafu, Mhe. Mizengo Pinda ametembelea banda la ushirikiano linalotumiwa kwa pamoja na Ofisi ya Waziri Mkuu
Month: July 2024
Afisa Mkuu wa TEHAMA kutoka PSPTB Elihuruma Eliufoo akitoa maelezo kuhusu namna ya kujiunga na Bodi kwa wananchi waliofika katika Banda la Bodi ya Wataalamu

Naibu Waziri wa Nishati Judith Kapinga amewataka wakandarasi wote wanaotekeleza miradi ya usambazaji wa umeme vijijini kuhakikisha wanatekeleza miradi hiyo kwa wakati na kwa ubora.

Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji ametoa wito kwa Watanzania kushiriki maonesho ya 48 ya Kimataifa ya Biashara Dar es Salaam (DITF)

Maonesho ya 48 ya Biashara ya Kitaifa ya Dar es Salaam maarufu kama sabasaba yanatarajia kutengeneza ajira za muda zipatazo 11,712 huku watembeleaji wakifikia 353,201.

The hali inahusu hasa katika jimbo lenye utulivu la Kivu Kaskazini, nyumbani kwa watu milioni 2.8 waliokimbia makazi yao. Katika wiki moja iliyopita, zaidi ya

Habari ya Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe, kuchaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD), si yenye kushtua, maana ni utaratibu wa vyama vyenye

Katika kupata uelewa wa pamoja kuhusu shughuli za ukaguzi mipakani, Bodi na Menejimenti ya Tume ya Ushindani (FCC) imetembelea Kituo cha ukaguzi wa pamoja (OSBP)

WIZARA YA NISHATI YASHIRIKI MAONESHO YA KIMATAIFA YA BIASHARA DAR ES SALAAM – MWANAHARAKATI MZALENDO
Na Mwandishi Wetu; Wizara ya Nishati pamoja na Taasisi zilizo chini yake zinashiriki katika Maonesho ya Kimataifa ya Biashara ya 48 yanayoendelea jijini Dar es

Moshi. Mahakama ya Hakimu Mkazi Moshi na Mahakama ya Wilaya ya Moshi, zimeamuru kutaifishwa magari mawili yaliyokamatwa yakiwasafirisha wahamiaji haramu 12 raia wa Ethiopia, likiwamo