Naibu waziri Kapinga ambananisha mkandarasi mbele ya wananchi, “wananchi wanataka maendeleo”

Naibu Waziri wa Nishati Judith Kapinga amewataka wakandarasi wote wanaotekeleza miradi ya usambazaji wa umeme vijijini kuhakikisha wanatekeleza miradi hiyo kwa wakati na kwa ubora. Naibu Waziri ametoa maelekezo hayo jana wakati alipokuwa ziara yake Mkoani Shinyanga iliyolenga kukagua utekelezaji wa miradi ya Umeme Vijijini katika majimbo ya Mkoa huo huku akimtaka mkandarasi wa kampuni…

Read More

Watanzania tumieni fursa ya Maonesho ya 48 ya Saba saba

Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji ametoa wito kwa Watanzania kushiriki maonesho ya 48 ya Kimataifa ya Biashara Dar es Salaam (DITF) ya mwaka huu ili kujifunza na kubadilishana uzoefu na washiriki wa ndani na nje ya nchi. Akizungumza Julai 2, 2024 mara baada ya kutembelea mabanda mbalimbali ya Maonesho hayo, akiwa…

Read More

TCD inavyotoa fursa kwa Chadema, ACT kuunda ushirikiano Uchaguzi Mkuu 2025

Habari ya Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe, kuchaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD), si yenye kushtua, maana ni utaratibu wa vyama vyenye wabunge kupishana katika uongozi wa taasisi hiyo. Habari kuwa Kiongozi wa ACT-Wazalendo, Dorothy Semu, ndiye amekuwa Makamu Mwenyekiti wa TCD, ndiyo inasogeza mjadala. Mwenyekiti Chadema, Mwenyekiti TCD, halafu Kiongozi wa…

Read More

FCC yakubali kuanzisha ofisi mpaka wa Sirari

Katika kupata uelewa wa pamoja kuhusu shughuli za ukaguzi mipakani, Bodi na Menejimenti ya Tume ya Ushindani (FCC) imetembelea Kituo cha ukaguzi wa pamoja (OSBP) kilichopo Sirari Wilayani Tarime Mkoani Mara. Akizungumza katika ziara hiyo iliyofanyika Jumatatu Julai Mosi, 2024, Bw. William Erio, Mkurugenzi Mkuu wa FCC ambaye pia ndiye Mkaguzi Mkuu wa Alama za…

Read More

Gari la mbunge lataifishwa, wahamiaji haramu watupwa jela

Moshi. Mahakama ya Hakimu Mkazi Moshi na Mahakama ya Wilaya ya Moshi, zimeamuru kutaifishwa magari mawili yaliyokamatwa yakiwasafirisha wahamiaji haramu 12 raia wa Ethiopia, likiwamo linalodaiwa kumilikiwa na mbunge. Mbali na kutaifishwa kwa magari hayo kuwa mali ya Serikali ya Tanzania, mahakama zimewahukumu wahamiaji hao kulipa faini ya Sh500,000 kila mmoja au kutumikia kifungo cha…

Read More