Mwishoni mwa wiki iliyopita, mbunge wa zamani wa Iringa Mjini (Chadema), Peter Msigwa alipokelewa kama mwanachama mpya wa CCM baada ya kuamua kuachana na chama
Month: July 2024

Mtukufu Dk Rahis, msikivu, mwenye maono, ndoto, uthubutu, ukimya, nk, naomba nimshukuru Mwenyezi Mungu, rahis, du! A’udhu billahi min ash-shaytaan-ir-rajeem. Nimemsahau Mtume! Naona yule anashangaa.

Moja ya operesheni za Serikali zilizofanyika nchini na kugubikwa na mauaji ya watu, dhuluma na ukatili kwa wananchi ni Operesheni Tokomeza, iliyolenga kukabiliana na ujangili

Klabu ya Azam FC yafikia makubaliano na klabu ya El Merreikh ya Sudan ya kumnunua moja kwa moja kipa Mohamed Mustafa, baada ya mkataba wa

Na Nora Damian, Mtanzania Digital Watu wasioona sasa wanaweza kupata ujuzi katika fani ya ufundi alluminiam na nyingine zinazotolewa na vyuo vya Veta kutokana kuwapo

Dar/Arusha. Matumizi ya gundi kama kilevi yamekuwapo nchini miongoni mwa waraibu, na hasa watoto wanaoishi mitaani katika mazingira magumu, suala linaloziweka afya za watumiaji hatarini.

Aviation diplomacy plays a crucial role in resolving international aviation disputes. It involves diplomatic channels, negotiations, and consultations to settle disputes between states. The International

Dar es Salaam. Bei ya petroli imeshuka mwezi huu Julai katika mikoa inayochukua mafuta hayo Bandari za Dar es Salaam, Tanga na Mtwara ikilinganishwa na

Golikipa nambari moja wa Yanga, Djigui Diarra raia wa nchini Mali ameongeza mkataba wa miaka mitatu kuendelea kuwatumikia Wananchi wa Jangwani. Mkataba mpya aliosaini utadumu
Muonekano wa baadhi ya Nyumba zilizojengwa na Serikali kwa wananchi waliokumbwa na maafa ya Maporomoko ya Matope na Mawe Hanang zikiwa katika hatua mbalimbali za