
Msigwa anavyoongeza joto ubunge CCM Iringa Mjini
Mwishoni mwa wiki iliyopita, mbunge wa zamani wa Iringa Mjini (Chadema), Peter Msigwa alipokelewa kama mwanachama mpya wa CCM baada ya kuamua kuachana na chama chake cha Chadema alichokitumikia kwa zaidi ya miaka 20. Kuhamia kwa Msigwa CCM, siyo tu kumenogesha siasa za vyama vingi, bali pia kumeongeza joto la kisiasa katika jimbo la Iringa…