Msigwa anavyoongeza joto ubunge CCM Iringa Mjini

Mwishoni mwa wiki iliyopita, mbunge wa zamani wa Iringa Mjini (Chadema), Peter Msigwa alipokelewa kama mwanachama mpya wa CCM baada ya kuamua kuachana na chama chake cha Chadema alichokitumikia kwa zaidi ya miaka 20. Kuhamia kwa Msigwa CCM, siyo tu kumenogesha siasa za vyama vingi, bali pia kumeongeza joto la kisiasa katika jimbo la Iringa…

Read More

KONA YA FYATU MFYATUZI: Yaani mkimbinafsisha Bi Mkubwa namfyutua mtu

Mtukufu Dk Rahis, msikivu, mwenye maono, ndoto, uthubutu, ukimya, nk, naomba nimshukuru Mwenyezi Mungu, rahis, du! A’udhu billahi min ash-shaytaan-ir-rajeem. Nimemsahau Mtume! Naona yule anashangaa. Kwani nazusha? Wangapi, sijui chawa, sijui kunguni, wakianza kuchonga wanafanya hivyo kwa maangamizi yao na mafyatu wao? Nasikia kila mara rahis akisifiwa kuwa na ‘maono’ tena yasiyooneka. Kupitia maono, naona…

Read More

Lembeli: Operesheni Tokomeza ilinipa presha, iking’oa mawaziri wanne wa JK

Moja ya operesheni za Serikali zilizofanyika nchini na kugubikwa na mauaji ya watu, dhuluma na ukatili kwa wananchi ni Operesheni Tokomeza, iliyolenga kukabiliana na ujangili kwenye hifadhi za Taifa uliokuwa umekithiri wakati huo. Operesheni hiyo ilianza Oktoba 2023 hadi Novemba 2014, baada ya Serikali kusitisha kutokana na malalamiko ya wananchi kuhusu vitendo vya ukiukwaji wa…

Read More

Veta yadhihirisha uwezo wake kwa watu wasioona

Na Nora Damian, Mtanzania Digital Watu wasioona sasa wanaweza kupata ujuzi katika fani ya ufundi alluminiam na nyingine zinazotolewa na vyuo vya Veta kutokana kuwapo kwa maarifa yanayowawezesha kujifunza kirahisi. Raphael Mwambalaswa (39) asiyeona ambaye anaonekana kwenye banda la Mamlaka ya Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) katika Maonesho ya 48 ya Biashara ya Kimataifa (Sabasaba)…

Read More

Kuvuta gundi kunavyoweka rehani maisha ya waraibu

Dar/Arusha. Matumizi ya gundi kama kilevi yamekuwapo nchini miongoni mwa waraibu, na hasa watoto wanaoishi mitaani katika mazingira magumu, suala linaloziweka afya za watumiaji hatarini. Mbali na matumizi kwa waraibu, mafundi ambao kazi zao muda mrefu zinawafanya kutumia gundi, pia wako hatarini kiafya, kwa mujibu wa wataalamu. Uchunguzi uliofanywa na Mwananchi katika majiji ya Dar…

Read More

FLIGHT PATH DIPLOMACY: REVISITING PAST TANZANIA-KENYA AVIATION DISPUTES.

Aviation diplomacy plays a crucial role in resolving international aviation disputes. It involves diplomatic channels, negotiations, and consultations to settle disputes between states. The International Civil Aviation Organization (ICAO) is a key player in this process, providing a framework for dispute resolution. Diplomacy helps maintain international relations and trade in aviation, ensuring the smooth operation…

Read More

Bei ya petroli yashuka, dizeli ikiongezeka

Dar es Salaam. Bei ya petroli imeshuka mwezi huu Julai katika mikoa inayochukua mafuta hayo Bandari za Dar es Salaam, Tanga na Mtwara ikilinganishwa na Juni, huku dizeli ikiongezeka kidogo. Taarifa iliyotolewa na Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (Ewura) inaonyesha kuwa bei za mafuta kuanzia leo Jumatano Julai 3, 2024 yale…

Read More

DIARRA KUSALIA YANGA HADI 2027 – MWANAHARAKATI MZALENDO

Golikipa nambari moja wa Yanga, Djigui Diarra raia wa nchini Mali ameongeza mkataba wa miaka mitatu kuendelea kuwatumikia Wananchi wa Jangwani. Mkataba mpya aliosaini utadumu kwa misimu mitatu yaani kwa mwaka 2024/25, 2025/26 na 2026/27 ambao utakuwa msimu wake wa mwisho Hivyo, Mlinda lango huyo anasalia kuwa mali safi ya klabu hio kutokana na uwezo…

Read More