
EWURA YATANGAZA BEI MPYA ZA MAFUTA YA PETROLI
Home » EWURA YATANGAZA BEI MPYA ZA MAFUTA YA PETROLI Featured • Kitaifa About the author
Home » EWURA YATANGAZA BEI MPYA ZA MAFUTA YA PETROLI Featured • Kitaifa About the author
Mh. Dkt Selemani Jafo ateuliwa kuwa Waziri wa Viwanda na Biashara, anakaimu nafasi hiyo akitoka kuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira).Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Yusuph Mwenda kuwa Kaminsha Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania-TRARais Samia Suluhu Hassan amemteua Dkt Ashatu Kijaji kuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais…
Hello! habari ya wasaa huu, karibu uweze kupitia habari kemkem kutoka nyanja tofauti zilizopewa kipaumbele katika kurasa za magazeti ya leo Jumatano Julai 3, 2024 kutokea Jijini Dar es Salaam, Tanzania. #koncepttvupdates
BEKI raia wa Kenya, Joash Onyango, yupo kwenye hatua za mwisho kumalizana na Dodoma Jiji ili kuitumikia msimu ujao. Onyango aliyewahi kucheza Simba, ni miongoni mwa wachezaji waliomaliza mikataba Singida Black Stars ambayo awali ilikuwa inatumia jina la Ihefu FC. WINGA wa zamani wa Simba, Rashid Juma yupo kwenye hatua za mwisho kusaini mkataba wa…
WIKIENDI iliyopita ulitokea msuguano mkali kati ya Anthony Joshua (AJ) na Daniel Dubois kiasi cha kutaka kuzichapa ‘kavukavu’ mbele ya wasimamizi wao, uliamsha hisia zaidi za pambano lijalo, Septemba 21, mwaka huu. Waingereza hao watapigana katika Uwanjani wa Wembley siku hiyo kuwania mkanda wa IBF ambao upo mikononi mwa Oleksandr Usyk ambaye imemlazimu auachie ushindaniwe…
WAKATI Shirikisho la Soka nchini (TFF) likiwa limeshapokea barua ya kustaafu kuitumikia Taifa Stars ya nahodha, Mbwana Samatta, Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk Damas Ndumbaro ametaja mikakati ya kupata warithi wa wachezaji waliopo na mastaa wa baadae. Ndumbaro ambaye alikiri kupokea barua ya Samatta, alisema wizara imeshatoa maelekezo kwa vyama vyote vya michezo…
KOCHA maarufu kwenye Ukanda wa Afrika Mashariki, Kati na Kaskazini anayeikochi Al Hilal ya Sudan, Florent Ibenge amefafanua jambo kuhusiana na staa mpya wa Yanga, Clatous Chama. Mzambia huyo alijiunga na Yanga juzi Jumatatu akitokea Simba aliyomaliza nayo mkataba baada ya kuitumikia kwa mafanikio ikiwemo kuipeleka kwenye robo fainali za mashindano ya klabu Afrika mara…
TAYARI Joshua Mutale kiraka wa Zambia ameshatambulishwa rasmi Msimbazi. Jana mchana ilikuwa zamu ya Steven Mukwala, staa wa Uganda. Lakini sasa unaambiwa Simba imetuma tiketi mbili za ndege katika mataifa mawili tofauti ili kuwashusha nchini wachezaji wawili matata akiwemo mrithi wa Clatous Chama aliyetangazwa kujiunga na Yanga, juzi. Kati ya tiketi hizo moja imeenda Kinshasa,…
Home » PATA HABARI MOTO MOTO KATIKA MAGAZETI YA LEO JULAI 3,2024 Featured • Magazeti About the author
Nchi zote mbili za Uturuki na Uholanzi zimefuzu hatua ya robo fainali kwa mara ya kwanza tangu mwaka 2008. Merih Demiral alikuwa shujaa asiyetarajiwa wa Uturuki, baada ya kuifungia timu yake mabao yote mawili katika kipindi cha kwanza na cha pili. Timu zote mbili zilipata nafasi ndani ya sekunde 30 za kwanza huku Demiral akifanikiwa…