
APC WAJIPANGA KUVUTIA WAWEKEZAJI NCHINI
UONGOZI wa Hoteli ya APC wameiomba serikali kuongeza siku na muda wa maonesho ya 48 ya biashara ya kimataifa sabasaba kwani bado watu wanauhutaji mkubwa wa huduma zao na wao kupata fursa ya kuendelea kujitangaza. Hayo yamesemwa leo na Afisa Masoko kutoka APC Hotel Conference Center – Happy Sanga katika maonesho hayo ambayo yanatarajiwa…