UONGOZI wa Hoteli ya APC wameiomba serikali kuongeza siku na muda wa maonesho ya 48 ya biashara ya kimataifa sabasaba kwani bado watu wanauhutaji
Month: July 2024

Maandamano ya Jumanne yalianza katika hali ya furaha lakini yalizidi kuwa na vurugu kadiri siku ilivyosogea. Katika eneo la biashara katikati mwa jiji la Nairobi,

Rais Samia Suluhu Hassan amemteua aliyekuwa Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Alphayo Japan Kidata kuwa Mshauri wa Rais, Ofisi ya Rais –

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan, amemteua aliyekuwa Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Alphayo Kidata kuwa Mshauri wa Rais, Ikulu nafasi
Na. Peter Haule, WF, Dar es Salaam Ofisi ya Pensheni ya Hazina iliyo chini ya Idara ya Mhasibu Mkuu wa Serikali inajukumu la kulipa mafao

Dar es Salaam. Mwaka mpya wa fedha wa 2024/25 ukianza, wananchi wamelalamika kuongezeka makato ya kodi ya majengo kuanzia Julai Mosi 2024. Hata hivyo, Shirika

STAMICO Yajipambanua maeneo ya ushirikiano STANBIC Benki Yasema inaitazama Sekta ya Madini Tanzania Dodoma Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Madini, Msafiri Mbibo ameishawishi Benki ya

Tanga. Mkuu wa Mkoa wa Tanga, balozi Batilda Burian, ameziagiza taasisi zote za Serikali zinazodaiwa bili za maji na Wakala wa Maji na Usafi wa

NA WILLIUM PAUL, ROMBO. WATUMISHI wa Umma wilayani Rombo mkoani Kilimanjaro wametakiwa kuhakikisha fedha zinazoletwa na serikali kwa ajili ya miradi ya maendeleo zitumike kama