Alichosema Lissu kuhusu Mchungaji Msigwa kutimkia CCM

Dar es Salaam. Siku chache tangu Mchungaji Peter Msigwa kutimkia Chama cha Mapinduzi (CCM), Makamu Mwenyekiti wa Chadema (Bara), Tundu Lissu ameeleza kusikitishwa na uamuzi huo akisema: “Kwa kujiunga na maadui zangu wa kisiasa, sasa nitalazimika kukutana naye kama hasimu wake wa kisiasa.” Lissu amesema hayo leo Jumanne Julai 2, 2024 ikiwa ni siku nne…

Read More

NELSON MANDELA MARATHON KUFANYIKA SEPTEMBA 22,2024

Makamu Mkuu wa Taasisi ya Afrika ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela Prof Maulilio Kipanyula akizungumza na Waandishi wa Habari (hawapo katika picha) wakati alipokuwa akitambulisha mbio za masafa marefu za Nelson Mandela (Nelson Mandela Marathon) zinazotarajiwa kufanyika September 22, 2024 katika kampasi ya Tengeru Arusha. Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi Nelson Mandela Marathon…

Read More

Mbowe: Serikali iwadhibiti tembo wanaoingia makazi ya watu

Muheza. Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe amezitaka mamlaka zinazohusika kusimamia na kudhibiti wanyamapori nchini, kuchukua hatua za kuwadhibiti tembo wanaoingia kwenye makazi ya wananchi katika Wilaya ya Mkinga, mkoani Tanga. Akizungumza na wananchi wilayani humo, ikiwa ni mwendelezo wa mikutano yake ya hadhara leo Julai 2, 2024 kwenye kampeni yao…

Read More

EQUITY BANK YAWAKARIBISHA WAJASIRIAMALI KUPATA MKOPO

WAJASILIAMALI na wasambazaji wa bidhaa za kampuni mbalimbali wameshauriwa kufika katika Benki ya Equty Tanzania ili kupata mkopo usiokuwa na riba ili kuendelea biashara zoa. Meneja Mkuu Biashara, Leah Ayubu ametoa mwito huo jana wakati katika Maonesho ya Biashara Kimataifa Dar es Salaam yanayoendela katika viwanja vya Nyeerer barabara ya Kilwa mkoani Dar es Salaam….

Read More

Ukweli kuhusu matumizi ya maji ya bamia

Dar es Salaam. Jamii imekuwa na mtazamo tofauti kuhusu matumizi ya bamia, baadhi wakiamini kwa kutumia maji yake wanaweza kuongeza uteute kwenye magoti. Mbali ya hao, wapo wanaoamini kwa kutumia maji ya bamia wanaweza kuongeza uteute ukeni. Hata hivyo, ukweli ni kuwa kutokana na utajiri wa vitamini na viambata vilivyomo ndani ya bamia, huchangia kuimarisha…

Read More

TRA, ZRA zikiongeza ufanisi, wachumi watia neno kuhusu mikopo

Dar es Salaam. Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imetangaza ufanisi katika makusanyo ya mapato yaliyofikia asilimia 97.67 katika mwaka wa fedha 2023/24, yakiwa yameongezeka kwa asilimia 14.5 ikilinganishwa na ya mwaka 2022/2023 Kufuatia ongezeko hilo, wataalamu wa uchumi wamesema ni vyema sasa nchi ikaanza kufadhili miradi yenyewe na kupunguza utegemezi wa mikopo kutoka nje. TRA…

Read More

Kesi madai ya ukahaba, Mahakama yaikomalia Serikali

Dar es Salaam. Mahakama ya Hakimu Mkazi Sokoine Drive, jijini Dar es Salaam imezidi kuikaba kooni Serikali kuhusiana na uthibitisho wa ugonjwa wa shahidi wake aliyeshindwa kutoa ushahidi katika kesi ya ukahaba wiki iliyopita kwa maelezo anaumwa. Ni baada ya kuionya Serikali na kuitaka iheshimu amri na mamlaka ya mahakama. Mbali na onyo hilo, ingawa…

Read More