
Vikwazo ukuaji magari, pikipiki za umeme Tanzania
Dar es Salaam. Uhaba wa wataalamu, kodi kubwa na changamoto za kisera ni miongoni mwa vikwazo vilivyotajwa kusababisha idadi ndogo ya vyombo vya moto vinavyotumia nishati ya umeme katika uendeshaji wake nchini. Kwa mujibu wa Ripoti ya E Mobility Alliance iliyotolewa Machi 2023, Tanzania ina vyombo vya moto vinavyotumia umeme 5,000 idadi ambayo ni ndogo…