Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: July 2024

  • Home
  • 2024
  • July
  • Page 295
Habari

Vikwazo ukuaji magari, pikipiki za umeme Tanzania

July 2, 2024 Admin

Dar es Salaam. Uhaba wa wataalamu, kodi kubwa na changamoto za kisera ni miongoni mwa vikwazo vilivyotajwa kusababisha idadi ndogo ya vyombo vya moto vinavyotumia

Read More
Habari

Tanzania, Msumbiji kuanzisha kituo kimoja cha forodha

July 2, 2024 Admin

Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema yeye pamoja na Rais wa Msumbiji, Philip Nyusi wamekubaliana kuanzisha sasa kituo kimoja cha forodha Mtambaswala kitakachohamasisha biashara.

Read More
Habari

Mtandao wa X ulivyomtoa Matarra gerezani

July 2, 2024 Admin

Dar es Salaam. “Nilipokuwa si kuzuri hata kidogo, nawashukuru wanamtandao wa X.” Haya ni maneno ya Japhet Matarra, kijana aliyechiwa huru baada ya kufungwa gerezani

Read More
Michezo

Azam waipa Simba bei ya Fei Toto

July 2, 2024 Admin

SIMBA na Mamelodi Sundowns zimeulizia uwezekano wa kumsainisha mkataba staa wa Azam FC, Feisal Salum ‘Fei Toto’ lakini zikaambiwa hauzwi. Fei Toto ambaye alitua Azam

Read More
Habari

Karibu watu 105 wafa kwenye mkanyagano nchini India – DW – 02.07.2024

July 2, 2024 Admin

Tukio hili la mkanyagano limetokea kwenye kijiji kilichopo wilaya ya Hathras karibu kilomita 200 kusinimashariki mwa mji mkuu wa India, New Delhi ambako mamlaka zimesema

Read More
Habari

EST waja na mwarobaini kuwadhibiti wachumi ‘makanjanja’

July 2, 2024 Admin

Dar es Salaam. Jumuiya ya Wachumi Tanzania (EST), imesema umefika wakati wachumi nchini wanapohitimu elimu ya juu, wanapaswa kufanya mtihani wa kupima ubobezi wao katika

Read More
Michezo

TETESI ZA USAJILI BONGO: Karaboue asakwa kumrithi Inonga Simba

July 2, 2024 Admin

WAKATI vigogo wa Simba wakihaha kupata saini ya beki wa Cape Town City ya Afrika Kusini, Nathan Idumba ili kuziba pengo la Mkongomani Henock Inonga

Read More
Habari

TANZANIA NA MSUMBIJI ZAKUBALIANA KUKUZA MAHUSIANO YA KIHISTORIA

July 2, 2024 Admin

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Waandishi wa Habari Ikulu Jijini Dar es Salaam kuhusiana na Ziara ya

Read More
Habari

Ujerumani kuwalipa fidia maelfu ya waathirika walio hai – DW – 02.07.2024

July 2, 2024 Admin

Kansela Olaf Scholz amesema Ujerumani inamipango ya kutoa msaada kwa walionusurika ukatili uliotokana na ukaliaji kwa mabavu wa utawala wa Wanazi nchini Poland wakati wa

Read More
Habari

Rais Samia amchangia Sativa Sh35 milioni

July 2, 2024 Admin

Dar es Salaam. Wakati Mkazi wa Mbezi, Dar es Salaam, Edgar Mwakabela maarufu kama Sativa akiendelea na matibabu aliyoyapata baada ya kutekwa, Rais Samia Suluhu

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 294 295 296 … 315 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.