Vikwazo ukuaji magari, pikipiki za umeme Tanzania

Dar es Salaam. Uhaba wa wataalamu, kodi kubwa na changamoto za kisera ni miongoni mwa vikwazo vilivyotajwa kusababisha idadi ndogo ya vyombo vya moto vinavyotumia nishati ya umeme katika uendeshaji wake nchini. Kwa mujibu wa Ripoti ya E Mobility Alliance iliyotolewa Machi 2023, Tanzania ina vyombo vya moto vinavyotumia umeme 5,000 idadi ambayo ni ndogo…

Read More

Tanzania, Msumbiji kuanzisha kituo kimoja cha forodha

Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema yeye pamoja na Rais wa Msumbiji, Philip Nyusi wamekubaliana kuanzisha sasa kituo kimoja cha forodha Mtambaswala kitakachohamasisha biashara. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Rais Samia ametoa kauli hiyo leo Jumanne wakati akizungumza na waandishi wa habari kuhusu ziara ya Rais wa Msumbiji, Philip Nyusi Ikulu jijini Dar es…

Read More

Mtandao wa X ulivyomtoa Matarra gerezani

Dar es Salaam. “Nilipokuwa si kuzuri hata kidogo, nawashukuru wanamtandao wa X.” Haya ni maneno ya Japhet Matarra, kijana aliyechiwa huru baada ya kufungwa gerezani kwa makosa ya mtandao. Kijana huyo aliyetiwa hatiani kwa kuhoji utajiri wa marais wa Tanzania kupitia mitandao ya kijamii, ameachiwa baada ya marafiki na wanaharakati kuchangisha fedha kupitia mtandao wa…

Read More

Azam waipa Simba bei ya Fei Toto

SIMBA na Mamelodi Sundowns zimeulizia uwezekano wa kumsainisha mkataba staa wa Azam FC, Feisal Salum ‘Fei Toto’ lakini zikaambiwa hauzwi. Fei Toto ambaye alitua Azam FC akitokea Yanga, alisaini mkataba wa miaka mitatu na tayari ameutumikia kwa msimu mmoja akiisaidia timu hiyo kumaliza katika nafasi ya pili na kupata nafasi ya kuiwakilisha Tanzania katika Ligi…

Read More

EST waja na mwarobaini kuwadhibiti wachumi ‘makanjanja’

Dar es Salaam. Jumuiya ya Wachumi Tanzania (EST), imesema umefika wakati wachumi nchini wanapohitimu elimu ya juu, wanapaswa kufanya mtihani wa kupima ubobezi wao katika taaluma hiyo. Hayo yameelezwa leo Jumanne Julai 2, 2024 na mratibu wa jumuiya hiyo, Geofrey Mwambe, alipozungumza na waandishi wa habari kuhusu kongamano la wanajumuiya wa uchumi linalotarajiwa kufanyika Julai…

Read More

Rais Samia amchangia Sativa Sh35 milioni

Dar es Salaam. Wakati Mkazi wa Mbezi, Dar es Salaam, Edgar Mwakabela maarufu kama Sativa akiendelea na matibabu aliyoyapata baada ya kutekwa, Rais Samia Suluhu Hassan amekuwa miongoni mwa waliojitokeza kumchangia Sh35 milioni za matibabu. Taarifa za mchango huo zimetolewa kupitia ujumbe uliochapishwa na Mratibu wa Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC),…

Read More