Dar es Salaam. Uhaba wa wataalamu, kodi kubwa na changamoto za kisera ni miongoni mwa vikwazo vilivyotajwa kusababisha idadi ndogo ya vyombo vya moto vinavyotumia
Month: July 2024

Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema yeye pamoja na Rais wa Msumbiji, Philip Nyusi wamekubaliana kuanzisha sasa kituo kimoja cha forodha Mtambaswala kitakachohamasisha biashara.

Dar es Salaam. “Nilipokuwa si kuzuri hata kidogo, nawashukuru wanamtandao wa X.” Haya ni maneno ya Japhet Matarra, kijana aliyechiwa huru baada ya kufungwa gerezani

SIMBA na Mamelodi Sundowns zimeulizia uwezekano wa kumsainisha mkataba staa wa Azam FC, Feisal Salum ‘Fei Toto’ lakini zikaambiwa hauzwi. Fei Toto ambaye alitua Azam

Tukio hili la mkanyagano limetokea kwenye kijiji kilichopo wilaya ya Hathras karibu kilomita 200 kusinimashariki mwa mji mkuu wa India, New Delhi ambako mamlaka zimesema

Dar es Salaam. Jumuiya ya Wachumi Tanzania (EST), imesema umefika wakati wachumi nchini wanapohitimu elimu ya juu, wanapaswa kufanya mtihani wa kupima ubobezi wao katika

WAKATI vigogo wa Simba wakihaha kupata saini ya beki wa Cape Town City ya Afrika Kusini, Nathan Idumba ili kuziba pengo la Mkongomani Henock Inonga

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Waandishi wa Habari Ikulu Jijini Dar es Salaam kuhusiana na Ziara ya

Kansela Olaf Scholz amesema Ujerumani inamipango ya kutoa msaada kwa walionusurika ukatili uliotokana na ukaliaji kwa mabavu wa utawala wa Wanazi nchini Poland wakati wa

Dar es Salaam. Wakati Mkazi wa Mbezi, Dar es Salaam, Edgar Mwakabela maarufu kama Sativa akiendelea na matibabu aliyoyapata baada ya kutekwa, Rais Samia Suluhu