NELSON MANDELA MARATHON KUHAMASISHA MASOMO YA SAYANSI KWA WASICHANA

Makamu Mkuu wa Taasisi ya Afrika ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela Prof Maulilio Kipanyula akizungumza na Waandishi wa Habari (hawapo katika picha) wakati alipokuwa akitambulisha mbio za masafa marefu za Nelson Mandela (Nelson Mandela Marathon) zinazotarajiwa kufanyika September 22, 2024 katika kampasi ya Tengeru Arusha. Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi Nelson Mandela Marathon…

Read More

DISEMBA 30, DARAJA LA JPM (KIGONGO-BUSISI) KUANZA KUTUMIKA-ENG AMBROSE – MWANAHARAKATI MZALENDO

Daraja la J.P. Magufuli (Kigongo – Busisi) lenye urefu wa Kilomita 3.0 na barabara unganishi Kilomita 1.66 linatarajiwa kuanza kutumika Tarehe 30 Disemba 2024 likiunganisha Barabara Kuu ya Usagara – Sengerema – Geita zenye urefu wa Kilomita 90. Daraja hilo linajengwa Urefu wa kilometa 3.0 Upana meta 28.45; unaojumuisha njia mbili (2) za Magari (Carriageways)…

Read More

Mke asimulia wasiojulikana walivyomteka mumewe

Handeni. “Niliamka asubuhi nikaanza kufanya usafi, akaja mtu mmoja akawa anazunguka hapa nyumbani kwetu, tukasalimiana, akaniuliza “huu msingi (wa nyumba) anayepandisha ni nani”? Nikajibu mama na mume wangu wanajenga hapa, akataka kuniuliza maswali zaidi, nikamwambia anisubiri nimuite mhusika. “Nikaingia ndani nikamwambia mume wangu kuna mtu yupo nje nimemuona anazungukazunguka hapa nyumbani, ila simfahamu lakini anaulizia…

Read More

Majiha katika nyakati za kudhihirisha umwamba wake

JULAI 20, mwaka huu bondia namba moja nchini ‘Tanzania One’ Fadhili Majiha maarufu Kiepe Nyani atapanda ulingoni kutetea Mkanda wa ubingwa wa Baraza la Ngumi Duniani kwa Tawi la Afrika ‘WBC Afrika’ ambalo limepangwa kufanyika katika Jiji la Mbeya. Majiha atapanda ulingoni kwenye pambano hilo dhidi ya Sabelo Ngebinyana wa Afrika Kusini katika pambano litakalokuwa…

Read More

Aliyehukumiwa kunyongwa, sasa afungwa miaka 15

Arusha. Mahakama ya Rufani imebatilisha hukumu ya kunyongwa hadi kufa aliyohukumiwa Chipukizi Chondi, mkazi wa Kigoma kwa kosa la mauaji na sasa atatumikia kifungo cha miaka 15 jela kwa kosa la kuua bila kukusudia. Mahakama hiyo imesema imezingatia ushahidi wa mazingira kuhusiana na mauaji katika shauri hilo, hivyo imemhukumu kifungo hicho kilichoanza kuhesabiwa tangu alipotiwa…

Read More