Lebron amsubiri Klay Killers Lakers

DIRISHA la usajili kwa wachezaji huru (free agents) lipo wazi kwa sasa kwenye Ligi ya Kikapu Marekani (NBA), ambapo wachezaji wanatoka timu moja na kwenda nyingine na hata zaidi ya timu moja kupitia mabadilishano. Usajili unaosubiriwa zaidi  ni ule wa Klay Thompson ‘Killer’ kujiunga na Los Angeles Lakers ya LeBron James ambaye inaelezwa kuwa yupo…

Read More

DISEMBA 30, 2024 DARAJA LA J.P. MAGUFULI (KIGONGO-BUSISI) KUANZA KUTUMIKA-ENG PASCHAL AMBROSE

Daraja la J.P. Magufuli (Kigongo – Busisi) lenye urefu wa Kilomita 3.0 na barabara unganishi Kilomita 1.66 linatarajiwa kuanza kutumika Tarehe 30 Disemba 2024 likiunganisha Barabara Kuu ya Usagara – Sengerema – Geita zenye urefu wa Kilomita 90. Daraja hilo linajengwa Urefu wa kilometa 3.0 Upana meta 28.45; unaojumuisha njia mbili (2) za Magari (Carriageways)…

Read More

Rais Samia kugharamia matibabu ya kijana aliyetekwa

Rais Samia Suluhu Hassan amesema yeye binafsi atabeba gharama zote za matibabu ya kijana Edgar Mwakabela, maarufu kama Sativa anayedaiwa kutekwa, kuteswa na kutupwa katika pori la Hifadhi ya Katavi akiwa na majeraha mbalimbali mwilini. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Sativa ambaye anaendelea na matibabu katika hospitali ya Aga Khan kuanzia usiku wa tarehe 30…

Read More