MOI yapokea majeruhi 700 kwa mwezi, bodaboda zaongoza

Dar es Salaam. Taasisi ya Tiba na Mifupa, Upasuaji wa Ubongo na Mishipa ya Fahamu (MOI), imesema inapokea takribani majeruhi wa ajali za barabarani 700 kwa mwezi. Kati ya majeruhi hao, asilimia 60 ambayo ni sawa na wajeruhi sita kati ya 10 wanatokana na ajali zinazohusiana na pikipiki maarufu kama bodaboda. Takwimu hizo zimetolewa na…

Read More

Kampuni kuagiza Siagi isiyo na rehemu kutoka Mauritius

Wakala wa kampuni ya WEXCO, Mohamed Barkat akihudumia wananchi waliofika kwenye banda lake kwenye maonyesho ya 77 yanayoendelea jijini Dar es salaam. Na Mwandishi Wetu KAMPUNI ya World Exchange Company Limited (WEXCO), kwa kushirikiana na Quality Beverages ya Mauritius, wanatarajia kuanza kuingiza nchini siagi yenye virutubisho nane na ambayo ni bora kwa afya na mazingira….

Read More

Waandamanaji Kenya wachoma magari, balozi zatoa tahadhari

Dar es Salaam. Matukio ya waandamanaji wa Gen Z kuchoma moto mali na ulipuaji wa mabomu ya kutoa machozi yanaendelea kushuhudiwa nchini Kenya. Manadamano hayo yanayofanywa ikiwa ni muendelezo wa kile walichokianza wiki mbili zilizopita, hoja yao kubwa ikiwa ni kukataa muswada wa fedha kwa mwaka 2024, Rais William Ruto kutangaza kutousaini na kuurudisha bungeni….

Read More

Norris shubiri mpya kwa Verstappen

MBIO zilizopita za nchini Austria zilisisimua vilivyo wapenzi wa mashindano ya magari duniani (Formula 1) kutokana na kilichotokea kati ya madereva Max Verstappen na Lando Norris. Wakiwa wanafukuzana kwenye mbio sita za nyuma, wawili hao waliiingia kwenye vita ya kuwania ushindi wa mbio za Austria, na vita baina yao ilikwenda hadi mwishoni kabisa ilipobaki mizunguko…

Read More