Kinana ajiuzulu CCM, Samia aridhia

Dar es salaam. Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana amejiuzulu wadhifa huo baada ya kuomba mara kadhaa kwa Mwenyekiti wa CCM Taifa, Samia Suluhu Hassan ambaye sasa ameridhia ombi hilo. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo Jumatatu, Julai 29, 2024 na Katibu wa NEC ya CCM, Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Amos Makala…

Read More

Rais Samia amteua Katungu bosi mpya wa Magereza

Dar es Salaam. Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amempandisha cheo Kamishna wa Magereza, Jeremiah Katungu kuwa Kamishna Jenerali wa Magereza (CGP) na kumteua kuwa Mkuu wa Jeshi la Magereza. Uteuzi huo umetangazwa leo Jumatatu, Julai 29, 2024 na Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais Ikulu, ikimnukuu Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Moses Kusiluka ikieleza kuteuliwa kwa…

Read More

Maboresho mifumo ya kodi yanukia

Dar es Salaam. Machungu yanayowakabili wafanyabiashara huenda yakapata mwarobaini, baada ya Serikali kutangaza mpango wa kuunda kamati ya maboresho ya mifumo ya kikodi. Kamati hiyo itakayoundwa na Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuhusisha wajumbe kutoka sekta ya umma na binafsi, inatarajiwa kuja na mapendekezo yatakayofumua mifumo ya kikodi itakayohusisha sera na sheria. Msingi wa kuundwa…

Read More