Wasichana 10,100 waliokatisha masomo warejeshwa shule

Dodoma. Jumla ya wasichana 10,100 waliokatiza masomo, wamerejeshwa shuleni nje ya mfumo wa rasmi wa elimu kwa kipindi cha miaka mitatu tangu mwaka 2022 hadi mwaka 2024. Wengi wa wanafunzi hao ni wale waliokatisha masomo kwa kupata ujauzito na utoro, ambao wamerejeshwa shuleni kupitia vituo vya Taasisi ya Elimu ya Watu Wazima, ikiwa ni miaka…

Read More

MZEE WA KALIUA: Ni muda wa Gamondi kufukuzwa?

KILA unapovuta picha ya uwepo wa Clatous Chama, Maxi Nzengeli, Stephen Aziz KI, Prince Dube na Pacôme Zouzoua unachoona ni ushindi tu. Unachoona kingine ni mtu kupigwa tano kila siku. Unachoona ni safari ya Yanga kwenda kushinda kila mechi. Unachoona ni Yanga kwenda fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika. Unachoona ni Yanga kushinda mechi zote…

Read More

Mikakati kufikia tani 120,000 za mkonge yabainishwa

Na Nora Damian, Mtanzania Digital Bodi ya Mkonge Tanzania (TSB) imeeleza mikakati mbalimbali inayofanywa ili kuhakikisha uzalishaji wa mkonge unafikia tani 120,000 mwaka 2025 kutoka tani 56,000 za sasa. Ofisa Kilimo wa Bodi ya Mkonge Tanzania (TSB), Emmanuel Lutego (kushoto), akiwasikiliza wateja waliotembelea banda la bodi hiyo kwenye Maonesho ya 48 ya Biashara ya Kimataifa…

Read More

Straika wa Okwi rasmi atua Msimbazi

Klabu ya Simba imemtambulisha mshambulia Steven Mukwala, raia wa Uganda. kwa mkataba wa miaka mitatu akitokea Asante Kotoko ya Ghana. Huo ni utambulisho wa tatu kwa Simba kuelekea msimu mpya wa mashindano wa 2024/25 baada ya wekundu hao kumtambulisha winga Joshua Mutale kutoka Power Dynamos ya Zambia na Lameck Lawi kutoka Coastal Union, ambaye hata…

Read More

Majasusi watibua jaribio la kumpindua rais Ukraine

SERIKALI ya Ukraine imefanikiwa kutibua njama za kuipindua serikali ambayo imekuwa hasimu mkubwa wa Urusi. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa… (endelea). Taarifa iliyotolewa na mtandao wa Telegram imeeleza kuwa, Shirika la Ujasusi la Ukrainme (SBU) ilidai kuwa waandaaji wa mapinduzi walipanga kuzua ghasia jijini Kyiv tarehe 30 Juni 2024 na kudhibiti Bunge la Ukraine na kuondoa…

Read More

Serikali yanyooshewa kidole utekaji, Waziri aitetea

Dar es Salaam. Vilio vya watu kutoweka na kutekwa vimeendelea kuibua hofu na wasiwasi nchini, huku wadau wakiinyooshea kidole Serikali kwa kushindwa kuvikomesha. Kwa mujibu wa wadau hao wa kada mbalimbali, pia vipo viashiria vya ushiriki vyombo vya dola, ikidaiwa baadhi ya watekaji wanapomchukua mtu hudai wao ni askari, madai ambayo Waziri wa Mambo ya…

Read More

Serikali ya Awamu ya tano ilivyofuta ufalme wa Manji

Dar es Salaam. Mfanyabiashara maarufu Tanzania, Yusuf Manji (49) amezikwa jana Florida nchini Marekani, akiacha historia ya kuwa miongoni mwa wawekezaji wakubwa waliowahi kutokea nchini. Heshima na jina lake, lisingekuwa kitu kipya katika masikio ya Watanzania wengi nyakati hizo, hiyo ilitokana na utajiri wake, kadhalika kujihusisha kwake na uwekezaji katika mpira wa maguu. Manji aliyefariki…

Read More