Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: July 2024

  • Home
  • 2024
  • July
  • Page 301
Habari

Wasichana 10,100 waliokatisha masomo warejeshwa shule

July 2, 2024 Admin

Dodoma. Jumla ya wasichana 10,100 waliokatiza masomo, wamerejeshwa shuleni nje ya mfumo wa rasmi wa elimu kwa kipindi cha miaka mitatu tangu mwaka 2022 hadi

Read More
Michezo

Klabu ya Simba yamsajili mshambuliaji wa Kimataifa wa Uganda Steven Mukwala

July 2, 2024 Admin

Mshambuliaji huyo mwenye umri wa miaka 24 anajiunga na Simba baada ya mkataba wake na klabu ya Asante Kotoko ya Ghana kumalizika mwezi uliopita. Atakuwa

Read More
Michezo

MZEE WA KALIUA: Ni muda wa Gamondi kufukuzwa?

July 2, 2024 Admin

KILA unapovuta picha ya uwepo wa Clatous Chama, Maxi Nzengeli, Stephen Aziz KI, Prince Dube na Pacôme Zouzoua unachoona ni ushindi tu. Unachoona kingine ni

Read More
Habari

Dkt. Tulia Ackson atoa salamu za mshikamano baina ya IPU na Jukwaa la Kibunge la SADC

July 2, 2024 Admin

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU), Mhe. Dkt. Tulia Ackson, leo tarehe 2 Julai,

Read More
Habari

Mikakati kufikia tani 120,000 za mkonge yabainishwa

July 2, 2024 Admin

Na Nora Damian, Mtanzania Digital Bodi ya Mkonge Tanzania (TSB) imeeleza mikakati mbalimbali inayofanywa ili kuhakikisha uzalishaji wa mkonge unafikia tani 120,000 mwaka 2025 kutoka

Read More
Michezo

Straika wa Okwi rasmi atua Msimbazi

July 2, 2024 Admin

Klabu ya Simba imemtambulisha mshambulia Steven Mukwala, raia wa Uganda. kwa mkataba wa miaka mitatu akitokea Asante Kotoko ya Ghana. Huo ni utambulisho wa tatu

Read More
Habari

Majasusi watibua jaribio la kumpindua rais Ukraine

July 2, 2024 Admin

SERIKALI ya Ukraine imefanikiwa kutibua njama za kuipindua serikali ambayo imekuwa hasimu mkubwa wa Urusi. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa… (endelea). Taarifa iliyotolewa na mtandao wa

Read More
Habari

Wakenya waandamana kumshinikiza Rais Ruto ajiuzulu – DW – 02.07.2024

July 2, 2024 Admin

Waandishi wa habari wa shirika la habari la Reuters wameshuhudia mapema leo wingu la moshi ya gesi ya kutoa machozi katika barabara kuu katikati ya

Read More
Habari

Serikali yanyooshewa kidole utekaji, Waziri aitetea

July 2, 2024 Admin

Dar es Salaam. Vilio vya watu kutoweka na kutekwa vimeendelea kuibua hofu na wasiwasi nchini, huku wadau wakiinyooshea kidole Serikali kwa kushindwa kuvikomesha. Kwa mujibu

Read More
Habari Michezo

Serikali ya Awamu ya tano ilivyofuta ufalme wa Manji

July 2, 2024 Admin

Dar es Salaam. Mfanyabiashara maarufu Tanzania, Yusuf Manji (49) amezikwa jana Florida nchini Marekani, akiacha historia ya kuwa miongoni mwa wawekezaji wakubwa waliowahi kutokea nchini.

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 300 301 302 … 315 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.