Sababu wanafunzi kufanyiana mitihani vyuo vikuu

Si tukio la kawaida kwa walio wengi, lakini limetokea na pengine yamekuwa yakitokea matokeo mengi ya aina hiyo, lakini hayaripotiwi. Si habari njema kwa kuwa linatia doa sekta ya elimu nchini. Ni tukio la uongozi wa Chuo Kikuu Huria cha Tanzania (OUT) kuwakamata watu 17 wakijaribu kuwafanyia mitihani wanafunzi wa chuo hicho. Waliokamatwa ilielezwa walikuwa…

Read More

Tofauti kati ya Rais Ruto, Naibu wake zaanikwa

TOFAUTI za kimtizamo kati ya Rais William Ruto na Naibu wake Rigathi Gachagua zimeendelea kuonekana wazi baada ya wawili kukinzana kuanzia  Jumapili tarehe 30 Juni 2024 kuhusu suala nyeti yanayohusu usalama wa nchi hiyo. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa… (endelea). Katika mahojiano na wahariri wa mashirika makuu ya habari nchini Ikulu ya Nairobi juzi Jumapili usiku, Rais…

Read More

Shangwe la akina mama Shinyanga ‘Dkt Samia mitano tena’

Mbunge wa Jimbo la Ushetu Emmanuel Cherehani alivyoibua Shangwe leo kwenye Kongamano la Wanawake wa Mkoa wa Shinyanga linalolenga kuhamasisha Wananchi kujiandikisha kwenye daftari la mpiga kura kwa mwaka 2024. Mgeni rasmi katika Kongamano hilo lililofanyika katika Ukumbi wa Miligo Hall Manispaa ya Kahama alikuwa Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake wa Chama cha Mapinduzi Tanzania…

Read More

Sayari ya Joto ni ya Ulimwenguni, Marekebisho ni Mahususi kwa Watu wa Karibu na Ustahimilivu – Masuala ya Ulimwenguni

Maoni na Sanjay Srivastava – TN Singh – Praveen Kumar – Naina Tanwar (bangkok, Thailand) Jumanne, Julai 02, 2024 Inter Press Service BANGKOK, Thailand, Julai 02 (IPS) – Majira ya joto ya 2024 yamevunja rekodi za joto, na kudhihirisha wazi hali mbaya ya joto ya sayari yetu. Nchini India pekee, wimbi la joto limesababisha vifo…

Read More

NIC yaja na Bima ya Maisha ya Maajaliwa

Baadhi ya matukio katika Maonesho ya Sabasaba Bima hiyo inatoa hadi mkopo wa Nisogeze kupitia simu ya kiganjani Na Chalila Kibuda,Michuzi TV NIC insurance yaja na Bima ya Maisha ya Maajaliwa ya kuingia mkataba na Mteja kwa kipindi cha miaka mitano hadi 30. Bima ya Maisha ya Maajaliwa inatoa dhamana ya kifedha kwa mteja au…

Read More