Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: July 2024

  • Home
  • 2024
  • July
  • Page 303
Habari

NAIBU WAZIRI KAPINGA ATAKA KASI YA UUNGANISHAJI UMEME USHETU IONGEZEKE

July 2, 2024 Admin

Naibu Waziri wa Nishati, Mhe.Judith Kapinga ameuagiza Wakala wa Nishati Vijijini (REA) kuongeza kasi ya kuwaunganishia umeme wananchi katika vijiji ambavyo tayari vimefikiwa na miradi

Read More
Habari

MAKAMU WA PILI WA RAIS ZANZIBAR ZIARANI UNGUJA

July 2, 2024 Admin

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe.Hemed Suleiman Abdulla akitoa maagizo kwa Mshauri elekezi kutoka Wakala wa Majenzi (ZBA) juu ya Ujenzi wa Mradi

Read More
Habari

DKT.MATARAGIO AKAGUA UJENZI WA KITUO MAMA CHA KUJAZIA GESI

July 2, 2024 Admin

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Nishati, Dkt. James Mataragio amekagua kazi za ujenzi wa Kituo cha Kujazia Gesi kinachojengwa katika barabara ya Sam Nujoma mkoani

Read More
Habari

Wafanyakazi kiwanda cha chai mkoani Njombe wagoma kuingia kazini wakishinikiza kulipwa mshahara wao wa miezi minne

July 2, 2024 Admin

Wafanyakazi wa Kiwanda cha Chai cha Kampuni ya DL Group kilichopo mtaa wa Kibena kata ya Ramadhani mkoani Njombe wakiwemo wachumaji wa majani ya chai

Read More
Habari

NSSF yawataka wastaafu watarajiwa kuhakiki taarifa zao

July 2, 2024 Admin

Mfuko wa Taifa wa hifadhi ya jamii (NSSF) umewataka watumishi wanaotarajiwa kustaafu kuanza kujiandaa ikiwa ni pamoja na kuhakiki taarifa zao za msingi sambamba na

Read More
Michezo

PUMZI YA MOTO: ‘Sumu’ ya Dube ilipoondoka na Kipre

July 2, 2024 Admin

WIKI iliyopita ilikuwa ya moto kwenye harakati za uhamisho kwa wachezaji kwa upande wa klabu ya Azam ya Chamazi Dar es Salaam. Sakata la muda

Read More
Michezo

‘Sumu’ ya Dube ilipoondoka na Kipre

July 2, 2024 Admin

WIKI iliyopita ilikuwa ya moto kwenye harakati za uhamisho kwa wachezaji kwa upande wa klabu ya Azam ya Chamazi Dar es Salaam. Sakata la muda

Read More
Michezo

TETESI ZA USAJILI BONGO: Ismaily kuivurugia Simba kwa Josephat Bada

July 2, 2024 Admin

SIMBA inadaiwa ipo katika harakati za kunasa saini ya kiungo wa Asec Mimosas, Josephat Arthur Bada zilizoingia ugumu baada ya Ismaily ya Misri kuingilia kati

Read More
Michezo

Tanzania yapokonywa tonge Arusha | Mwanaspoti

July 2, 2024 Admin

TIMU ya Taifa ya Uganda imetwaa ubingwa wa kwanza wa kombe la mpira wa miguu kwa wanawake wasio na makazi Afrika (Afrika Homeless Women’s Cup

Read More
Michezo

Chama apangua umafia wa Simba, sababu kutambulishwa asubuhi bila jezi yaelezwa

July 2, 2024 Admin

WATOTO wa mjini wanasema biashara asubuhi na jioni mahesabu, ndio kauli waliyoitumia Yanga kukamilisha dili la kiungo Clatous Chama ambaye ametua kwa mabingwa hao na

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 302 303 304 … 315 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.