MAKAMU WA PILI WA RAIS ZANZIBAR ZIARANI UNGUJA

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe.Hemed Suleiman Abdulla akitoa maagizo kwa Mshauri elekezi kutoka Wakala wa Majenzi (ZBA) juu ya Ujenzi wa Mradi wa Skuli ya Sekondari ya ghorofa iliopo Chukwani Wilaya ya Magharibi “B” Unguja wakati wa ziara yake ya kukagua Maendeleo ya Ujenzi wa Mradi huo. Imetolewa na Kitengo cha Habari…

Read More

DKT.MATARAGIO AKAGUA UJENZI WA KITUO MAMA CHA KUJAZIA GESI

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Nishati, Dkt. James Mataragio amekagua kazi za ujenzi wa Kituo cha Kujazia Gesi kinachojengwa katika barabara ya Sam Nujoma mkoani Dar es Salaam na kumtaka Mkandarasi kuongeza kasi ya utekelezaji wa mradi kwa kuongeza rasilimali watu na vifaa. Dkt. Mataragio amesema hayo tarehe 1 Julai 2024 alipofanya ziara ya kukagua…

Read More

Wafanyakazi kiwanda cha chai mkoani Njombe wagoma kuingia kazini wakishinikiza kulipwa mshahara wao wa miezi minne

Wafanyakazi wa Kiwanda cha Chai cha Kampuni ya DL Group kilichopo mtaa wa Kibena kata ya Ramadhani mkoani Njombe wakiwemo wachumaji wa majani ya chai wamesimama kufanya kazi na kusababisha shughuli zote za uzalishaji kusimama wakishinikiza kulipwa stahiki zao ikiwemo mshahara wa miezi minne. Ayo TV imefika kiwandani hapo na kukuta wafanyakazi wakiwa wamekusanyika nje…

Read More

NSSF yawataka wastaafu watarajiwa kuhakiki taarifa zao

Mfuko wa Taifa wa hifadhi ya jamii (NSSF) umewataka watumishi wanaotarajiwa kustaafu kuanza kujiandaa ikiwa ni pamoja na kuhakiki taarifa zao za msingi sambamba na kuwa na nidhamu ya matumizi ya fedha hali itakayosaidia kupunguza changamoto za maisha pindi wanapostaafu. Anaripoti Mwandishi Wetu …(endelea). Rai hiyo imetolewa na Meneja wa mafao wa NSSF Ilala, Mrisho…

Read More

‘Sumu’ ya Dube ilipoondoka na Kipre

WIKI iliyopita ilikuwa ya moto kwenye harakati za uhamisho kwa wachezaji kwa upande wa klabu ya Azam ya Chamazi Dar es Salaam. Sakata la muda mrefu la Prince Dube lilikamilika baada ya mchezaji huyo raia wa Zinbabwe kutii amri na kulipa ‘pesa za watu’ kama walivyokubaliana kwenye mkataba. Lakini wiki hiyo hiyo Azam FC tena…

Read More

Tanzania yapokonywa tonge Arusha | Mwanaspoti

TIMU ya Taifa ya Uganda imetwaa ubingwa wa kwanza wa kombe la mpira wa miguu kwa wanawake wasio na makazi Afrika (Afrika Homeless Women’s Cup 2024), baada ya kuichapa Tanzania mabao 6-1 katika mchezo wa fainali. Ubingwa huo unaipa moja kwa moja nafasi Uganda kushiriki mashindano ya dunia ya wanawake (Homeless World Cup) yatakayofanyika Korea…

Read More