
Simba SC Mpya inakuja, Mpanzu aikataa AS Vita
SIMBA inaendelea kusuka upya kikosi chake na sasa imeonyesha jeuri ya pesa katika kuwania saini ya winga wa kulia Elie Mpanzu (22), kutoka AS Vita ya DR Congo. Mwanaspoti lilikuwa la kwanza kutoa taarifa ya Simba kuwa kwenye mazungumzo na Mpanzu kutaka saini yake na huu ni mwendelezo wa dili hilo lilipofikia. Jana mastaa wa…