Kamusi, misamiati wanafunzi wenye mahitaji maalumu zaja

Musoma. Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia iko katika mchakato wa kuandaa kamusi ya lugha ya alama ya vifaa vya ufundi kwa ajili ya masomo kwa watu wenye mahitaji maalumu. Pia, wizara hiyo inatarajia kuandaa kamusi na misamiati kama mwongozo wa kufundishia masomo ya sayansi kwa wanafunzi wenye mahitaji maalumu nchini. Hayo yamesemwa leo, Jumatatu…

Read More

Nani mhusika matukio ya utekaji?

Dar es Salaam. Vilio vya watu kutoweka na kutekwa vimeendelea kuibua hofu na wasiwasi nchini, huku wadau wakiinyooshea kidole Serikali kwa kushindwa kuvikomesha. Kwa mujibu wa wadau hao wa kada mbalimbali, pia vipo viashiria vya ushiriki vyombo vya dola, ikidaiwa baadhi ya watekaji wanapomchukua mtu hudai wao ni askari, madai ambayo Waziri wa Mambo ya…

Read More

Makumi ya maelfu wameyahama makazi yao katika ongezeko jipya la Jiji la Gaza – Masuala ya Ulimwenguni

Kuhama kutoka kwa mji wa Gaza katika wilaya ya mashariki ya Shujaiya kunafuatia siku za mashambulizi makali yaliyoripotiwa na wanajeshi wa Israel, ambao vifaru vyao vimeonekana “karibu mita 100” mashariki mwa barabara ya Salah El Din, mhimili mkuu wa kaskazini-kusini. “Watu katika eneo hili wanatuambia kuhusu njaa inayokuja, na jinsi watu wanavyokula majani ya miti…

Read More

Sura mbili za Mchungaji Msigwa katika siasa

Dar es Salaam. Uamuzi wa mbunge wa zamani wa Iringa Mjini (Chadema), Peter Msigwa kujiunga na CCM, umeonyesha sura mbili za mwanasiasa huyo, aliyekuwa mwiba kwa chama hicho tawala kutokana na maneno yake ya ukosoaji. Jana, Juni 30, 2024, Msigwa alitambulishwa na Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM, Amos Makalla kama mwanachama mpya…

Read More

Wanachama CCM, Chadema wapishana kauli Msigwa kuhamia CCM

Katavi. Siku moja baada ya aliyekuwa Mbunge wa Iringa Mjini kwa tiketi ya Chadema na Mwenyekiti wa chama hicho Kanda ya Nyasa, Mchungaji Peter Msigwa kuhamia Chama cha Mapinduzi (CCM), wanachama wa vyama hivyo wamepishana kauli kuhusu uamuzi huo. Wakizungumza na Mwananchi Digital kwa nyakati tofauti leo Jumatatu Julai mosi, 2024, Amos Mgomelo, mwanachama wa…

Read More

Makada wa CCM Ileje mtegoni

Songwe. Chama Cha Mapinduzi (CCM), Wilaya ya Ileje, Mkoani Songwe, kimesema kitawafikisha kwenye vikao vya maadili ya chama hicho makada wanaojipitisha kwa lengo la kutaka nafasi za ubunge na udiwani kabla ya wakati. Makada hao watafikishwa kwenye vikao vya kamati ya maadili kwa utaratibu utakaohusisha upokeaji wa tuhuma dhidi yao wanaokiuka miongozo ya chama hicho,…

Read More

Raia wa Oman aliyekuja matembezi jela kwa kughushi kadi ya mpiga kura

Dar es Salaam. Raia wa Oman, Hatem Mohamed (37) na mwenzake Ally Ally (26), wamehukumiwa kwenda jela miezi 12, baada ya kushindwa kulipa faini ya Sh1 milioni kila mmoja,   baada ya kupatikana na hatia ya kughushi kadi ya mpiga kura na kudanganya maofisa uhamiaji.                                                                                                                       Hukumu hiyo imetolewa leo Jumatatu Julai mosi, 2024 na  Hakimu…

Read More

Nyumba 76 za watumishi wa afya, zitakavyoboresha utoaji huduma

Unguja. Familia 76 zimepata makazi karibu na Hospitali ya Rufaa ya Abdalla Mzee, Kusini Pemba hatua inayotajwa kuongeza ufanisi wa kutoa huduma katika hospitali hiyo baada ya kuwaepusha wataalamu kutembea masafa marefu kwenda kutoa huduma. Nyumba hizo 76 zenye gharama ya Sh16.481 bilioni zimejengwa na Serikali ya Jamhuri ya Watu wa China na kuikabidhi Serikali…

Read More