Maandamano ya Gen Z, Ruto asisitiza mikono yake safi

Rais wa Kenya, William Ruto amesisitiza mikono yake haijachafuka damu kutokana na mauaji yaliyotokea nchini humo, baada ya waandamanaji kukabiliana na polisi. Mamia ya Wakenya waliandamana Jumapili jijini Nairobi, kuwaenzi wale waliofariki katika maandamano ya kuipinga Serikali wiki iliyopita. Inadaiwa watu 30 waliuawa katika maandamano hayo. Rais Ruto, aliyekuwa akizungumza katika mahojiano na waandishi wa…

Read More

Korea Kusini yaanza safari kujenga bandari ya uvuvi Zanzibar

Unguja. Imeelezwa kuwa ujenzi wa bandari kubwa za uvuvi utaifungua Zanzibar kiuchumi na  kuwavutia wawekezaji kuwekeza kisiwani humo. Hayo yamebainika leo Jumatatu Julai mosi, 2024 baada ya Wizara ya Uchumi wa Buluu na Uvuvi Zanzibar kusaini makubaliano na Korea ya Kusini ya kufanya upembuzi yakinifu wa kujenga bandari za uvuvi kisiwani humo. Katibu Mkuu wa…

Read More

Mhitimu wa VETA Darasa la Tatu B Aanzisha Kiwanda

Mhitimu wa VETA Fani ya Uchomeleaji Faraja Michael akiwa katika bembea aliyobuni ambayo ina sehemu ya kuchaji Simu pamoja sehemu ya maji kwenye Maonesho ya Sabasaba *Asema ajira za ujuzi zipo za kutosha Na Chalila Kibuda,Michuzi TV Mhitimu wa VETA Dodoma fani ya uchomeleaji Faraja Michael aanzisha kiwanda chake kutengeneza vitu mbalimbali vinavyotokana na chuma…

Read More

Simba yatambulisha chuma kipya kutoka Zambia

Simba imemtambulisha rasmi Joshua Mutale raia wa Zambia anayecheza nafasi ya kiungo mshambuliaji kuwa mchezaji wao kwa miaka mitatu. Kiungo huyo aliyekuwa akikipiga Power Dynamos msimu wa 2023/2024 amefunga mabao matano na asisti tatu kwenye mechi 26 alizocheza. Mutale mwenye miaka 22 anamudu kucheza nafasi nyingi uwanjani tena kwa ufanisi kwani anaweza kucheza kama winga…

Read More

Viongozi wa dini Kenya waonya juu ya kutekwa nyara vijana – DW – 01.07.2024

Haya yanajiri baada ya ripoti zilizotolewa kuonesha zaidi ya vijana 34 hawajulikani walipo. Viongozi wa kidini kutoka mjini Mombasa nchini Kenya wamekosoa vitendo vya mauaji na uharibifu wa mali wakati wa maandamano ya kupinga mswada wa fedha yaliyofanyika alhamisi wiki iliyopita. Kundi la mashirika yanayopigania mageuzi katika kikosi cha polisi limetoa ripoti inayoonesha watu  34 walitekwa nyara…

Read More

Kutana na mwanamke mwenye nywele ndefu zaidi duniani

Mwanamitindo maarufu nchini Ukraine, Aliia Nasyrova (35) ametajwa kuvunja rekodi ya ‘Guinness” ya kuwa mwanamke mwenye nywele ndefu zaidi duniani. Awali, nafasi hiyo ilikuwa ikishikiliwa na Smita Srivastava kutoka India, ambaye mwaka 2023 alitangwazwa kuwa mwanamke mwenye nywele ndefu zaidi duniani, zikiwa na urefu wa sentimita 236.22. Kwa mujibu wa tovuti ya Guiness Word, nywele…

Read More

Jatu afikisha siku 111 za majadiliano na DPP

Dar es Salaam. Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Jatu PLC, Peter Gasaya (33), anayekabiliwa na kesi ya uhujumu uchumi yenye mashtaka mawili, likiwemo la kujipatia Sh 5.1bilioni kwa udanganyifu, amefikisha siku 111 tangu aanze majadiliano na Mkurugenzi wa Mashtaka nchini Tanzania (DPP) ya kuimaliza kesi yake. Hata hivyo, Serikali imedai bado haijafikia tamati katika majadiliano yao. Gasaya anadaiwa kujipatia fedha hizo kutoka…

Read More