Rais wa Kenya, William Ruto amesisitiza mikono yake haijachafuka damu kutokana na mauaji yaliyotokea nchini humo, baada ya waandamanaji kukabiliana na polisi. Mamia ya Wakenya
Month: July 2024

Katibu Mteandaji Baraza la Uwezeshaji Kiuchumi (NEEC), Bi. Beng’i Issa katikati akifuatilia jambo kutoka kwa washiriki hawapo pichani wakati Baraza hili lilipoifikisha Program ya Imarisha

Unguja. Imeelezwa kuwa ujenzi wa bandari kubwa za uvuvi utaifungua Zanzibar kiuchumi na kuwavutia wawekezaji kuwekeza kisiwani humo. Hayo yamebainika leo Jumatatu Julai mosi, 2024

Mhitimu wa VETA Fani ya Uchomeleaji Faraja Michael akiwa katika bembea aliyobuni ambayo ina sehemu ya kuchaji Simu pamoja sehemu ya maji kwenye Maonesho ya

Simba imemtambulisha rasmi Joshua Mutale raia wa Zambia anayecheza nafasi ya kiungo mshambuliaji kuwa mchezaji wao kwa miaka mitatu. Kiungo huyo aliyekuwa akikipiga Power Dynamos

Haya yanajiri baada ya ripoti zilizotolewa kuonesha zaidi ya vijana 34 hawajulikani walipo. Viongozi wa kidini kutoka mjini Mombasa nchini Kenya wamekosoa vitendo vya mauaji

Mwanamitindo maarufu nchini Ukraine, Aliia Nasyrova (35) ametajwa kuvunja rekodi ya ‘Guinness” ya kuwa mwanamke mwenye nywele ndefu zaidi duniani. Awali, nafasi hiyo ilikuwa ikishikiliwa
Na Munir Shemweta Jumla ya viwanja 4,150 vimemilikishwa katika mitaa 270 ya mkoa wa Dar es salaam kupitia programu ya ukwamuaji urasimishaji pamoja na

Richard Bennett wakati wa taarifa yake ya mdomo katika Baraza la Haki za Kibinadamu mnamo Juni 18, 2024. Credit: Anne-Marie Colombet/Baraza la Haki za Kibinadamu

Dar es Salaam. Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Jatu PLC, Peter Gasaya (33), anayekabiliwa na kesi ya uhujumu uchumi yenye mashtaka mawili, likiwemo la kujipatia Sh 5.1bilioni kwa udanganyifu, amefikisha siku 111