Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: July 2024

  • Home
  • 2024
  • July
  • Page 306
Habari

Maandamano ya Gen Z, Ruto asisitiza mikono yake safi

July 1, 2024 Admin

Rais wa Kenya, William Ruto amesisitiza mikono yake haijachafuka damu kutokana na mauaji yaliyotokea nchini humo, baada ya waandamanaji kukabiliana na polisi. Mamia ya Wakenya

Read More
Burudani

Makundi ya Kinamama Mkoani Ruvuma yapongeza programa ya Imarisha Uchumi na Mama Samia

July 1, 2024 Admin

Katibu Mteandaji Baraza la Uwezeshaji Kiuchumi (NEEC), Bi. Beng’i Issa katikati akifuatilia jambo kutoka kwa washiriki hawapo pichani wakati Baraza hili lilipoifikisha Program ya Imarisha

Read More
Habari

Korea Kusini yaanza safari kujenga bandari ya uvuvi Zanzibar

July 1, 2024 Admin

Unguja. Imeelezwa kuwa ujenzi wa bandari kubwa za uvuvi utaifungua Zanzibar kiuchumi na  kuwavutia wawekezaji kuwekeza kisiwani humo. Hayo yamebainika leo Jumatatu Julai mosi, 2024

Read More
Habari

Mhitimu wa VETA Darasa la Tatu B Aanzisha Kiwanda

July 1, 2024 Admin

Mhitimu wa VETA Fani ya Uchomeleaji Faraja Michael akiwa katika bembea aliyobuni ambayo ina sehemu ya kuchaji Simu pamoja sehemu ya maji kwenye Maonesho ya

Read More
Michezo

Simba yatambulisha chuma kipya kutoka Zambia

July 1, 2024 Admin

Simba imemtambulisha rasmi Joshua Mutale raia wa Zambia anayecheza nafasi ya kiungo mshambuliaji kuwa mchezaji wao kwa miaka mitatu. Kiungo huyo aliyekuwa akikipiga Power Dynamos

Read More
Habari

Viongozi wa dini Kenya waonya juu ya kutekwa nyara vijana – DW – 01.07.2024

July 1, 2024 Admin

Haya yanajiri baada ya ripoti zilizotolewa kuonesha zaidi ya vijana 34 hawajulikani walipo. Viongozi wa kidini kutoka mjini Mombasa nchini Kenya wamekosoa vitendo vya mauaji

Read More
Habari

Kutana na mwanamke mwenye nywele ndefu zaidi duniani

July 1, 2024 Admin

Mwanamitindo maarufu nchini Ukraine, Aliia Nasyrova (35) ametajwa kuvunja rekodi ya ‘Guinness” ya kuwa mwanamke mwenye nywele ndefu zaidi duniani. Awali, nafasi hiyo ilikuwa ikishikiliwa

Read More
Habari

VIWANJA 4,150 VYAMILIKISHWA KUPITIA PROGRAMU YA UKWAMUAJI URASIMISHAJI DAR ES SALAAM

July 1, 2024 Admin

  Na Munir Shemweta   Jumla ya viwanja 4,150 vimemilikishwa katika mitaa 270 ya mkoa wa Dar es salaam kupitia programu ya ukwamuaji urasimishaji pamoja na

Read More
Kimataifa

Kufichua Wafuganistani Walioenea, Mfumo wa Kimethodi wa Ukandamizaji wa Jinsia – Masuala ya Ulimwenguni

July 1, 2024 Admin

Richard Bennett wakati wa taarifa yake ya mdomo katika Baraza la Haki za Kibinadamu mnamo Juni 18, 2024. Credit: Anne-Marie Colombet/Baraza la Haki za Kibinadamu

Read More
Habari

Jatu afikisha siku 111 za majadiliano na DPP

July 1, 2024 Admin

Dar es Salaam. Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Jatu PLC, Peter Gasaya (33), anayekabiliwa na kesi ya uhujumu uchumi yenye mashtaka mawili, likiwemo la kujipatia Sh 5.1bilioni kwa udanganyifu, amefikisha siku 111

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 305 306 307 … 315 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.