Mahakama yamwachia huru aliyedaiwa kumuua mwanawe

Geita. Mahakama Kuu kanda ya Geita imemuachia huru Stephano Mlenda (31) Mkazi wa Chigunga Wilaya ya Geita, aliyekuwa akishtakiwa kwa kosa la kumuua mtoto wake wa miaka tisa kwa kutokusudia. Baba huyo anadaiwa kumchapa kwa fimbo mwanawe huyo baada ya kubaini ameiba Sh700 na kwenda kununua soda. Hukumu hiyo imetolewa leo Jumatatu Julai Mosi, 2024…

Read More

Viongozi wa dini Kenya waonya juu ya kuwateka nyara vijana – DW – 01.07.2024

Haya yanajiri baada ya ripoti zilizotolewa kuonesha zaidi ya vijana 34 hawajulikani walipo. Viongozi wa kidini kutoka mjini Mombasa nchini Kenya wamekosoa vitendo vya mauaji na uharibifu wa mali wakati wa maandamano ya kupinga mswada wa fedha yaliyofanyika alhamisi wiki iliyopita. Kundi la mashirika yanayopigania mageuzi katika kikosi cha polisi limetoa ripoti inayoonesha watu  34 walitekwa nyara…

Read More

THRDC yajitosa matibabu ya Sativa

Dar es Salaam. Wakati wananchi mbalimbali wakiendelea kumchangia Edgar Mwakabela maarufu kama Sativa, Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC), umeungana na wadau hao kufanikisha matibabu ya Sativa aliyelazwa Hospitali ya Aga Khan, jijini Dar es Salaam. Sativa anayedaiwa kutoweka Juni 23 na kupatikana Juni 27, 2024 katika pori la Hifadhi ya Katavi…

Read More

CAG atoa kongole kwa PPAA

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Charles Kichere ameipongeza Mamlaka ya Rufani ya Zabuni za Umma (PPAA) kwa kazi nzuri wanayoifanya ya kutoa elimu kwa umma kuhusu majukumu yake. Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Charles Kichere akisaini kitabu cha wageni katika banda la…

Read More

Vijana washauriwa kupima VVU kukabilian ongezeko laa maambukizi

  MWAKILISHI wa Mtandao wa vijana wanaoishi na Virusi vya UKIMWI Tanzania Cyprian Komba amewataka vijana kujitokeza kupima  Virusi vya UKIMWI ili kukabiliana na ongezeko la maambukizi linalowakumba vijana. Anaripoti Christina Haule, Morogoro … (endelea).   Kwa mujibu wa utafiti wa viashiria vya UKIMWI uliofanywa na Serikali mwaka 2022/23 watu 60,000 wamepata maambukizi ya VVU huku…

Read More