Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: July 2024

  • Home
  • 2024
  • July
  • Page 308
Habari

Watanzania tembeleeni Maonyesho ya Sabasaba”-CAG Kichere

July 1, 2024 Admin

Na Esther Mnyika, Mtanzania Digital Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Charles Kichere, ametoa wito kwa wananchi kutembelea Maonesho ya 48 ya

Read More
Habari

Israel yaendelea kukabiliana na wanamgambo wa Kipalestina – DW – 01.07.2024

July 1, 2024 Admin

Idadi hiyo ya vifo 37,900 inajumuisha karibu watu 23 waliopoteza maisha katika muda wa saa 24 zilizopita. Taarifa ya wizara ya afya ya Palestina inayodhibitiwa

Read More
Michezo

Saa mbili za mahojiano ya mwisho Manji Dar

July 1, 2024 Admin

Dar es Salaam. Kukiwa na upepo mkali Jumatano ya Aprili 18, 2024 simu yangu iliingia ujumbe mfupi kutoka kwa aliyekuwa mwenyekiti na mfadhili wa Yanga,

Read More
Habari

MABORESHO YA ELIMU, WASICHANA 10,100 WALIOSITISHA MASOMO WAREJESHWA SHULENI

July 1, 2024 Admin

Serikali imefanikiwa kuwarejesha shuleni nje ya mfumo rasmi wa elimu jumla ya wanafunzi wa kike elfu 10,100 katika kipindi cha miaka mitatu kuanzia mwaka 2022

Read More
Habari

IPA kuwafunda wasomi kutambua fursa sekta utalii, uchumi buluu

July 1, 2024 Admin

Unguja. Licha ya fursa zinazopatikana katika sekta ya utalii na Uchumi wa Buluu, bado jamii haijaweza kuzifikia kutokana na uelewa mdogo na hofu ya uthubutu.

Read More
Habari

TUKUTANE SABASABA!! – MICHUZI BLOG

July 1, 2024 Admin

Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA) inashiriki Maonesho ya Kimataifa ya Biashara ya 48 kwenye Viwanja vya Sabasaba jijini Dar

Read More
Habari

Mahamakama yamwachia huru aliyedaiwa kumuua mwanawe

July 1, 2024 Admin

Geita. Mahakama Kuu kanda ya Geita imemuachia huru Stephano Mlenda (31) Mkazi wa Chigunga Wilaya ya Geita, aliyekuwa akishtakiwa kwa kosa la kumuua mtoto wake

Read More
Habari

UDSM YAZINDUA KAMATI KUUBORESHA MRADI WA HEET

July 1, 2024 Admin

NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV CHUO Kikuu Cha Dar es Salaam, kupitia Mradi wa Mradi wa Elimu ya Juu kwa Mageuzi ya Kiuchumi (HEET), kimezindua

Read More
Michezo

HISIA ZANGU: Yusuf Manji, kutoka ufalme Jangwani mpaka pumzi za mwisho Florida

July 1, 2024 Admin

YUSUF Manji. Mtu na pesa zake. Amevuta pumzi zake za mwisho katika maisha haya ya dunia, Jumamosi, jijini Florida nchini Marekani. Nyuma yake ameacha historia

Read More
Habari

Uchaguzi ADC: Doyo akata rufaa kupinga kushindwa, Hamad Rashid afunguka

July 1, 2024 Admin

Dar es Salaam. Aliyekuwa mgombea wa nafasi ya uenyekiti wa Chama cha Alliance for Democratic Change (ADC), Doyo Hassan Doyo amekata rufaa katika kamati ya

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 307 308 309 … 315 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.