Watanzania tembeleeni Maonyesho ya Sabasaba”-CAG Kichere

Na Esther Mnyika, Mtanzania Digital Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Charles Kichere, ametoa wito kwa wananchi kutembelea Maonesho ya 48 ya Kimataifa ya Biashara Sabasaba ili kujifunza na kufahamu huduma mbalimbali zinazotolewa na taasisi za serikali na binafsi kwa ajili ya kuwahudumia wananchi. Akizungumza leo, Julai 1, 2024, alipotembelea maonesho hayo…

Read More

Saa mbili za mahojiano ya mwisho Manji Dar

Dar es Salaam. Kukiwa na upepo mkali Jumatano ya Aprili 18, 2024 simu yangu iliingia ujumbe mfupi kutoka kwa aliyekuwa mwenyekiti na mfadhili wa Yanga, Yusuf Manji akinitaka tuende uwanjani kutazama mechi ya Simba na Yanga. Hivyo ndivyo anaanza kusimulia mwandishi wa habari Zourha Malisa ambaye alikuwa rafiki wa karibu wa Manji aliyezikwa nchini Marekani…

Read More

TUKUTANE SABASABA!! – MICHUZI BLOG

Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA) inashiriki Maonesho ya Kimataifa ya Biashara ya 48 kwenye Viwanja vya Sabasaba jijini Dar es Es Salaam ili kuonesha huduma mbalimbali zinazotolewa na Bodi hiyo pamoja na utoaji wa elimu kwa wananchi waliofika kwenye Banda la Bodi hiyo lililo ndani ya jengo la Wizara…

Read More

Mahamakama yamwachia huru aliyedaiwa kumuua mwanawe

Geita. Mahakama Kuu kanda ya Geita imemuachia huru Stephano Mlenda (31) Mkazi wa Chigunga Wilaya ya Geita, aliyekuwa akishtakiwa kwa kosa la kumuua mtoto wake wa miaka tisa kwa kutokusudia. Baba huyo anadaiwa kumchapa kwa fimbo mwanawe huyo baada ya kubaini ameiba Sh700 na kwenda kununua soda. Hukumu hiyo imetolewa leo Jumatatu Julai Mosi, 2024…

Read More

UDSM YAZINDUA KAMATI KUUBORESHA MRADI WA HEET

NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV CHUO Kikuu Cha Dar es Salaam, kupitia Mradi wa Mradi wa Elimu ya Juu kwa Mageuzi ya Kiuchumi (HEET), kimezindua Kamati ambazo zinafanya kazi kwenye maeneo ambayo wanafanya ujenzi ili kuwafikia wadau mbalimbali ambao watatoa maoni ambayo yatasaidia uboreshaji wa mradi wa (HEET). Akizungumza na wandishi wa habari leo Julai…

Read More