Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: July 2024

  • Home
  • 2024
  • July
  • Page 309
Habari

SERIKALI KUSHIRIKIANA NA TAASISI YA KSI CHARITABLE EYE CENTRE ILI KUIMARISHA HUDUMA ZA MACHO NCHINI

July 1, 2024 Admin

Serikali kupitia Wizara ya Afya imeahidi kushirikiana na Taasisi ya Khoja Shia Ithna ili kuimarisha huduma za macho nchini ikiwemo utoaji wa huduma ya upasuaji

Read More
Michezo

TETESI ZA USAJILI BONGO: Samatta kumfuata Msuva Saudia

July 1, 2024 Admin

NYOTA wa kimataifa wa Tanzania anayecheza soka la kulipwa katika timu ya PAOK ya Ugiriki, Mbwana Samatta ‘Popat’ inadaiwa anajiandaa kumfuata Saimon Msuva anayecheza soka

Read More
Habari

Waziri Chana aagiza RITA kutoa elimu ya wosia, mirathi

July 1, 2024 Admin

WAZIRI wa Katiba na Sheria, Balozi Dk.Pindi Chana ameagiza ofisi za wakala wa usajili ufilisi na udhamini (RITA) kwa kushirikiana na Ofisi za Makatibu Tawala

Read More
Habari

Hungary yachukua urais wa zamu wa Umoja wa Ulaya – DW – 01.07.2024

July 1, 2024 Admin

Hungary imesisitiza kuwa iko tayari kuchukua wajibu na majukumu ya kuongoza kambi hiyo ya nchi 27 wanachama wa Umoja wa Ulaya. Waziri wa Hungary anayeshughulikia

Read More
Habari

10 wasakwa na polisi tuhuma za kufanyiwa mitihani chuo kikuu

July 1, 2024 Admin

Dar es Salaam. Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam. limesema bado halijafanikiwa kuwatia mbaroni wanafunzi 10 wa Chuo Kikuu Huria cha Tanzania

Read More
Habari

Rais wa Msumbiji kuzindua maonyesho ya sabasaba

July 1, 2024 Admin

Dar es Salaam. Rais wa Msumbiji, Filipe Nyusi anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika ufunguzi wa Maonyesho ya 48 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es

Read More
Habari

Udanganyifu wa ‘mashamba boi’ wapata muarobaini

July 1, 2024 Admin

Dar es Salaam. Wabunifu wamekuja na kifaa cha kukomesha udanganyifu wa wasimamizi wa mashamba ya samaki kwa kubuni kifaa cha kulishia samaki kitakachotoa taarifa kwa

Read More
Habari

Wanafunzi UDSM wagundua kifaa cha kudhibiti joto kwa vifaranga vya kuku

July 1, 2024 Admin

Dar es Salaam. Wafugaji wa kuku wako mbioni kuondokana na hasara wanayoipata kwa vifaranga vyao kufa kutokana na baridi au joto lililozidi kiwango kinachohitajika.  Hiyo

Read More
Habari

Mtandao wa X ulivyotumika kumnusuru Matarra gerezani

July 1, 2024 Admin

Dar es Salaam. Wanaharakati na marafiki wa kijana Japhet Matarra, anayetumikia kifungo cha miaka mitano gerezani kwa makosa ya mtandao kupitia mtandao wa X, wamechangisha

Read More
Michezo

‘Moyo wa Manji ulikuwa Yanga’

July 1, 2024 Admin

Dar es Salaam. Baada ya mwenyekiti na mfadhili wa zamani wa Yanga Yusuf Manji kufariki Jumamosi iliyopita, aliyekuwa mwanasheria wa timu hiyo, Onesmo Mpinzile ameeleza

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 308 309 310 … 315 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.