TETESI ZA USAJILI BONGO: Samatta kumfuata Msuva Saudia

NYOTA wa kimataifa wa Tanzania anayecheza soka la kulipwa katika timu ya PAOK ya Ugiriki, Mbwana Samatta ‘Popat’ inadaiwa anajiandaa kumfuata Saimon Msuva anayecheza soka nchini Saudia Arabia baada ya klabu ya Al Kholood iliyopanda  Ligi Daraja la Pili nchini humo kutuma maombi ya kumtaka nahodha huyo wa Taifa Stars kwa mkopo.                                          Kama dili hilo…

Read More

Waziri Chana aagiza RITA kutoa elimu ya wosia, mirathi

WAZIRI wa Katiba na Sheria, Balozi Dk.Pindi Chana ameagiza ofisi za wakala wa usajili ufilisi na udhamini (RITA) kwa kushirikiana na Ofisi za Makatibu Tawala wilaya zote za Tanzania bara kuendelea kutoa elimu kwa wananchi juu ya umuhimu wa kuandika wosia kabla ya mauti ili kupunguza migogoro ambayo hutokeza mara baada ya wazazi kufariki. Anaripoti…

Read More

10 wasakwa na polisi tuhuma za kufanyiwa mitihani chuo kikuu

Dar es Salaam. Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam. limesema bado halijafanikiwa kuwatia mbaroni wanafunzi 10 wa Chuo Kikuu Huria cha Tanzania (OUT) wanaokabiliwa na tuhuma za kufanyiwa mitihani. Katika sakata hilo, wanaotakiwa kukamatwa ni wanafunzi 17 na hadi juzi Jumamosi, Juni 29, 2024 ni wanafunzi saba pekee walithibitishwa kutiwa nguvuni kwa…

Read More

Rais wa Msumbiji kuzindua maonyesho ya sabasaba

Dar es Salaam. Rais wa Msumbiji, Filipe Nyusi anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika ufunguzi wa Maonyesho ya 48 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba) Julai 3, 2024. Nyusi atapokelewa nchini Tanzania kesho Jumanne, Julai 2 na Rais Samia Suluhu Hassan, Ikulu jijini Dar es Salaam, ataambatana na mwenyewe wake katika ufunguzi wa…

Read More

Udanganyifu wa ‘mashamba boi’ wapata muarobaini

Dar es Salaam. Wabunifu wamekuja na kifaa cha kukomesha udanganyifu wa wasimamizi wa mashamba ya samaki kwa kubuni kifaa cha kulishia samaki kitakachotoa taarifa kwa mmiliki ya muda na kiasi cha chakula walichopewa. Ili kupatikana samaki kwa wingi ni lazima kuwe na kazi ya kupanda, kukuza na kuwatunza katika bwawa au uzio uliotengenezwa kwa vyuma,…

Read More

Mtandao wa X ulivyotumika kumnusuru Matarra gerezani

Dar es Salaam. Wanaharakati na marafiki wa kijana Japhet Matarra, anayetumikia kifungo cha miaka mitano gerezani kwa makosa ya mtandao kupitia mtandao wa X, wamechangisha Sh8.5 milioni kwa ajili kumtoa gerezani kijana huyo. Matarra alihukumiwa Juni 2023 na Mahakama ya Hakimu Mfawidhi Wilaya ya Moshi, mkoani Kilimanjaro kwa kosa la mtandao la kuhoji utajiri wa…

Read More

‘Moyo wa Manji ulikuwa Yanga’

Dar es Salaam. Baada ya mwenyekiti na mfadhili wa zamani wa Yanga Yusuf Manji kufariki Jumamosi iliyopita, aliyekuwa mwanasheria wa timu hiyo, Onesmo Mpinzile ameeleza mengi kumhusu mfanyabiashara huyo. Manji alifariki akiwa hospitalini Florida nchini Marekani ikiwa ni miezi miwili tangu alipofanya mahojiano marefu na Mwananchi Digital akiwa jijini Dar es Salaam ambapo alihudhuria mchezo…

Read More