WAZIRI UMMY AMUAGA BALOZI WA SWITZERLAND

    Na WAF – Dar Es Salaam Waziri wa Afya Mhe. Ummy Mwalimu ametoa shukrani kwa nchi ya Switzerland kwa kuendelea kushirikiana na Tanzania katika kusaidia Sekta ya Afya hasa kwenye uboreshaji wa Utoaji wa huduma za Afya ya Msingi nchini.  Waziri Ummy amesema hayo leo Julai 29, 2024 wakati akiagana na Balozi wa…

Read More

Simba yapata akili mpya kabla ya Simba Day, Dabi

SIMBA ni wajanja sana. Wanafahamu kwamba wapinzani wao wa jadi, Yanga watakutana nao Agosti 8 kwenye Ngao ya Jamii, wakaamua kufanya sapraizi ambayo wanaamini itawalipa. Leo Jumanne, Simba ambao wanatimiza wiki ya tatu kamili tangu waanze mazoezi katika kambi nchini Misri, wakiwa huko wamepata akili mpya kuelekea Simba Day ambayo itafanyika siku tano kabla ya…

Read More

Vodacom Yashirikiana na NBC Dodoma Marathon 2024 Kuangazia Afya ya Uzazi, Yazawadia Washindi – MWANAHARAKATI MZALENDO

Kama mdhamini mkuu wa mbio za Kilomita 21 katika NBC Dodoma Marathon 2024, kampuni ya mawasiliano na teknolojia Vodacom Tanzania ikiwakilihwa na Mkurugenzi Mtendaji Bw. Philip Besiimire ilishiriki katika hafla ya utoaji zawadi kwa washindi wa mbio hizo sambamba na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Kassim Majaliwa, Mkurugenzi Mtendaji wa Benki…

Read More

Manabii Tanzania wamkana Kiboko ya Wachawi

Dar es Salaam. Baraza la Mitume na Manabii Tanzania (Bacct) limesema halimtambui Mchungaji, Dominique Dibwe maarufu Nabii Kiboko ya Wachawi na kueleza kuwa si mwanachama wao. Pia limesema walipojaribu kumtafuta kwa simu baada ya taarifa za kanisa lake la Christian Life kufungwa na Serikali, waliambiwa na watu wake wa karibu kuwa amekwishaondoka nchini. Kiboko ya wachawi ambaye ni…

Read More