Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: July 2024

  • Home
  • 2024
  • July
  • Page 310
Habari

Mapya kesi ya kutekwa Kabendera, Vodacom yaitwa mahakamani

July 1, 2024 Admin

Dar es Salaam. Mahakama Kuu Masjala Ndogo Dar es Salalam, imeitaka Kampuni ya huduma za mawasiliano ya simu za mkononi, Vodacom kufika mahakamani na kuwasilisha

Read More
Habari

TAMISEMI: Tuige mfano wa CRDB Bank Foundation kutoa fursa kwa vijana na wanawake

July 1, 2024 Admin

Dar es Salaam. Tarehe 29 Juni 2024: Katibu Mkuu wa Ofisi ya Rais – Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Adolf Ndunguru ameipongeza

Read More
Michezo

Mambo matano mahojiano ya mwisho ya Manji na Mwanaspoti

July 1, 2024 Admin

ALIYEWAHI kuwa mwenyekiti na mfadhili wa Yanga, Yusuf Manji, alifariki dunia juzi wakati akipatiwa matibabu katika hospitali moja iliyopo Florida, Marekani alikokuwa akiishi, lakini takriban

Read More
Kimataifa

'Imani na heshima' hulisha mafanikio ya kukua kwa mpunga wa dini tofauti nchini Ufilipino – Masuala ya Ulimwenguni

July 1, 2024 Admin

Chama cha ushirika cha Liton, Kibales, Magatos Irrigators Association (LKM-IA) kimeungwa mkono na Shirika la Umoja wa Mataifa la Chakula na Kilimo.FAO) kwa ufadhili wa

Read More
Habari

Rais wa Msumbuji kuzindua maonyesho ya sabasaba

July 1, 2024 Admin

Dar es Salaam. Rais wa Msumbiji, Filipe Nyusi anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika ufunguzi wa Maonyesho ya 48 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es

Read More
Habari

Vita vya Israeli dhidi ya Gaza, sasa vyaingia katika siku yake ya 269

July 1, 2024 Admin

Israel yamwachilia daktari wa Al Shifa miongoni mwa mateka 50 wa Kipalestina Jeshi la Israel limemuachilia huru mkurugenzi wa kituo cha matibabu cha Al Shifa

Read More
Habari

Mbowe, Prof. Kitila ‘wavaana’

July 1, 2024 Admin

MITIZAMO ya kisiasa kuhusu ugumu wa mtu kuwa mwanachama wa chama cha upinzani hususani Chadema imewagonganisha Mwenyekiti wa chama hicho, Freeman Mbowe na Kada wa

Read More
Habari

Mtendaji wa kijiji aliyehukumiwa kwa kupokea rushwa ya Sh20,000 akwaa kisiki

July 1, 2024 Admin

Arusha. Mahakama Kuu Masijala Ndogo Moshi, imebariki adhabu ya kifungo cha miaka mitatu jela bila faini au faini ya Sh1.5 milioni kwa aliyekuwa Mtendaji wa

Read More
Habari

Kijana wa Gen Z asimulia alivyopigwa risasi sita, kupona maandamano Kenya

July 1, 2024 Admin

Nairobi. Frank Okoth, mmoja wa vijana waliokuwa wakiandamana nchini Kenya maarufu ‘Gen Z’, amesimulia namna alivyokwepa umauti baada ya kudaiwa kupigwa risasi sita na Polisi.

Read More
Habari

Aweso aanza kikao rasmi, afika kwenye ofisi ya RC DSM

July 1, 2024 Admin

Waziri wa Maji Mhe Jumaa Aweso leo terehe 01 July 2024 ameanza rasmi ziara ya kikazi katika mikoa ya huduma ya Maji inayotolewa na Mamlaka

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 309 310 311 … 315 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.