Magamba ya samaki kaa kuzalisha nyuzi, nguo, ‘tishu’

Dar es Salaam. Katika kusaidia mapambano ya uchafuzi wa mazingira unaosababishwa na utupaji taka holela, mwanafunzi wa shahada ya uzamili wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), amebuni namna magamba ya samaki aina ya kaa yanavyozalisha nyuzi na nguo. Magamba hayo ya kaa ambayo kwa sasa huishia madampo katika maeneo mbalimbali, yanapochanganywa na mwani,…

Read More

Mbowe: Kuwa Chadema sio suala jepesi

Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Taifa, Freeman Mbowe amesema mtu kuwa chama cha upinzani inahitaji ujasiri. Mbowe ametumia kurasa zake za kijamii kuelezea maisha ya wanasiasa ndani ya upinzani na wale walioko chama tawala. Ujumbe huo unasomeka: “Kuwa chama cha upinzani hasa Chadema sio suala jepesi, linahitaji ujasiri wa…

Read More

BIL 1.9 ZIMETUMIKA MATENGENEZO BARABARA ZILIZOATHIRIWA NA EL-NINO MKOANI SHINYANGA-ENG JOEL

Serikali inayoongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt samia Suluhu Hassan imetoa fedha shilingi Bilioni 1.9 kwa ajili ya kushughulikia barabara zilizoathiriwa na Mafuriko/mvua za Elnino kwa Mkoa wa Shinyanga. Fedha hizo zimetumika kuhakikisha kuwa miundombinu yote ya barabara iliyoathirika na wananchi kushindwa kutoka eneo moja kwenda jingine inapitika kwa haraka…

Read More