Manji kuzikwa leo Florida Marekani

Dar es Salaam. Aliyewahi kuwa Mwenyekiti na Mfadhili wa Yanga, Yusuf Manji ambaye alifariki juzi Jumamosi anatarajiwa kuzikwa leo nchini Marekani. Manji alifariki akiwa hospitalini Florida Marekani ikiwa ni miezi miwili tangu alipofanya mahojiano marefu na Mwananchi Dijital akiwa jijini Dar es Salaam. Kwa mujibu wa taarifa ambayo mtoto wa marehemu Mehbub Manji amelitumia Mwananchi…

Read More

Dube achimbwa mkwala Ligi Kuu, aishukuru Azam FC

SAA chache tangu Azam FC itangaze kuridhia kumuachia Prince Dube baada ya Mzimbabwe huyo kuomba kuvunja mkataba ili awe huru, nyota huyo amefanya mahojiano mafupi na Mwanaspoti na kufunguka kuwa uamuzi aliouchukua kuiacha timu hiyo ni sahihi na kuwataka mashabiki wasubiri waone mambo msimu ujao. Klabu ya Azam, ilitoa taarifa Ijumaa usiku kuwa imeridhia ombi…

Read More

SHIME AMUONGEZA MALAIKA MEENA KIKOSINI

Kocha wa Timu ya Taifa ya Wanawake “Twiga Stars”, Bakari Shime amemuongeza kwenye kikosi mchezaji Malaika Meena anayekipiga kunako Wake Forest University ya Uingereza kwenye kikosi kinachoingia kambini Julai 1, 2024 kujiandaa kwa michezo ya kirafiki dhidi ya Tunisia na Botswana. @ma1aika @twigastarstz @tanfootball Powered by; @acbtanzania_ @kobemotor @betpawatanzania @wearekerry #KonceptTvUpdates

Read More

Huyu ndiye Yusuf Manji wa 1975 mpaka 2024

Dar es Salaam. Mfanyabiashara maarufu na aliyekuwa mwenyekiti wa Klabu ya Yanga, Yusuf Manji amefariki dunia Jumamosi Juni 29, 2024 saa 6 usiku katika Jimbo la Florida nchini Marekani alipokuwa anapatiwa matibabu. Manji (49), ambaye alifariki dunia saa sita usiku akiwa miezi miwili iliyopita alifanya mahojiano marefu na gazeti hili ambapo alizungumza mambo mengi kuhusiana…

Read More

Dube achimbwa mkwara Ligi Kuu, aishukuru Azam FC

SAA chache tangu Azam FC itangaze kuridhia kumuachia Prince Dube baada ya Mzimbabwe huyo kuomba kuvunja mkataba ili awe huru, nyota huyo amefanya mahojiano mafupi na Mwanaspoti na kufunguka kuwa uamuzi aliouchukua kuiacha timu hiyo ni sahihi na kuwataka mashabiki wasubiri waone mambo msimu ujao. Klabu ya Azam, ilitoa taarifa Ijumaa usiku kuwa imeridhia ombi…

Read More

Madina Idd aliona taji la gofu Zambia

KUNA kila dalili ya Mtanzania Madina Iddi kushinda taji la ubingwa wa wazi la mashindano ya kimataifa ya gofu mjini Lusaka Zambia mwaka huu. Akiwa ni mchezaji kutoka klabu ya Gymkhana ya Arusha, Madina aliwaacha mbali sana wapinzani wake kutoka Zambia, Kenya, Uganda na Botswana, kwa jumla ya mikwaju tisa hadi mwisho wa raundi ya…

Read More

Viongozi wa ACT jimbo zima watimkia Chadema

Viongozi wa Chama cha ACT Wazalendo jimbo la Kilindi mkoani Tanga jana tarehe 30 Juni 2024 wamehamia Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema. Anaripoti Faki Ubwa … (endelea). Viongozi hao wamepokewa na Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika Kilindi mkoani humo. Viongozi wa ACT waliohamia Chadema ni pamoja na:-Salum Omar –…

Read More

JICHO LA MWEWE: Ya Dube, maandiko yametimia

HATA leo usiku Prince Dube anaweza kutangazwa kuwa mchezaji mpya wa Yanga. Hii ni kati ya siri zilizofichwa vibaya katika soka letu. Siri nyingine iliyofichwa vibaya ni ile ya Feisal Salum ‘Fei Toto’ kuondoka Yanga kwenda Azam. Hatimaye kisasi kimelipwa. Usingetazamia kama maisha yangekwenda haraka kwa namna hii.

Read More