Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: July 2024

  • Home
  • 2024
  • July
  • Page 313
Michezo

Manji kuzikwa leo Florida Marekani

July 1, 2024 Admin

Dar es Salaam. Aliyewahi kuwa Mwenyekiti na Mfadhili wa Yanga, Yusuf Manji ambaye alifariki juzi Jumamosi anatarajiwa kuzikwa leo nchini Marekani. Manji alifariki akiwa hospitalini

Read More
Michezo

Dube achimbwa mkwala Ligi Kuu, aishukuru Azam FC

July 1, 2024 Admin

SAA chache tangu Azam FC itangaze kuridhia kumuachia Prince Dube baada ya Mzimbabwe huyo kuomba kuvunja mkataba ili awe huru, nyota huyo amefanya mahojiano mafupi

Read More
Habari

SHIME AMUONGEZA MALAIKA MEENA KIKOSINI

July 1, 2024 Admin

Kocha wa Timu ya Taifa ya Wanawake “Twiga Stars”, Bakari Shime amemuongeza kwenye kikosi mchezaji Malaika Meena anayekipiga kunako Wake Forest University ya Uingereza kwenye

Read More
Michezo

Huyu ndiye Yusuf Manji wa 1975 mpaka 2024

July 1, 2024 Admin

Dar es Salaam. Mfanyabiashara maarufu na aliyekuwa mwenyekiti wa Klabu ya Yanga, Yusuf Manji amefariki dunia Jumamosi Juni 29, 2024 saa 6 usiku katika Jimbo

Read More
Michezo

Dube achimbwa mkwara Ligi Kuu, aishukuru Azam FC

July 1, 2024 Admin

SAA chache tangu Azam FC itangaze kuridhia kumuachia Prince Dube baada ya Mzimbabwe huyo kuomba kuvunja mkataba ili awe huru, nyota huyo amefanya mahojiano mafupi

Read More
Michezo

Madina Idd aliona taji la gofu Zambia

July 1, 2024 Admin

KUNA kila dalili ya Mtanzania Madina Iddi kushinda taji la ubingwa wa wazi la mashindano ya kimataifa ya gofu mjini Lusaka Zambia mwaka huu. Akiwa

Read More
Habari

Viongozi wa ACT jimbo zima watimkia Chadema

July 1, 2024 Admin

Viongozi wa Chama cha ACT Wazalendo jimbo la Kilindi mkoani Tanga jana tarehe 30 Juni 2024 wamehamia Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema. Anaripoti Faki

Read More
Michezo

JICHO LA MWEWE: Ya Dube, maandiko yametimia

July 1, 2024 Admin

HATA leo usiku Prince Dube anaweza kutangazwa kuwa mchezaji mpya wa Yanga. Hii ni kati ya siri zilizofichwa vibaya katika soka letu. Siri nyingine iliyofichwa

Read More
Michezo

TETESI ZA USAJILI BONGO: Sangana asakwa Yanga, Yakubu kutua Coastal Union

July 1, 2024 Admin

UONGOZI wa Yanga umeanza kumfuatilia kiungo raia wa DR Congo, Onoya Sangana Charve anayekipiga AS Maniema. Nyota huyo aliyejiunga na Maniema Julai 28, 2022 akiachana

Read More
Habari

Ugonjwa wa kichaa cha mbwa unaweza kumpata binadamu kwa kuambukiza

July 1, 2024 Admin

Ugonjwa wa kichaa Cha mbwa umetajwa kuwa ni moja Kati ya magonjwa hatarishi Kwa wanyama hao pamoja na wafugaji kwani huambukiza Kwa kung’atwa na mnyama

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 312 313 314 315 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.