Aussems: Kuanzia sasa ni zamu ya ‘first 11’

KOCHA Mkuu wa Singida Black Stars (SBS), Patrick Aussems amesema bado anaendelea kusuka kikosi cha ushindani kwa kutumia mechi za kirafiki huku akidai timu hiyo ipo tayari, lakini kazi ni kwake kusaka kikosi cha kwanza. Aussems amefunguka hayo siku chache baada ya kukubali kichapo cha mabao 2-1 kutoka kwa Dodoma jiji ambapo amedai kuwa ameanza…

Read More

Majeshi ya China, Tanzania yazindua mazoezi ya medani

Pwani. Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi nchini (CDF), Jenerali Jacob Mkunda amesema ushirikiano wa kijeshi kati ya Tanzania na China unaongeza umahiri wa majeshi hayo, kukuza diplomasia na ushirikiano kati ya mataifa hayo. Amesema miaka 60 iliyopita, Tanzania na China zimekuwa pamoja katika nyanja mbalimbali, ikiwemo za kiuchumi, afya, miundombinu, uwekezaji, kilimo, ujenzi pamoja na…

Read More

Ajira za afya 9,483 kuelekezwa maeneo ya pembezoni

Dar es Salaam. Waziri wa Afya wa Tanzania, Ummy Mwalimu amesema kutokana na uhaba uliopo wa watumishi wa afya maeneo ya pembezoni mwa nchi, ajira mpya 9,483 zilizotangazwa zitaelekezwa maeneo hayo. Amesema watumishi hao watapelekwa katika halmashauri za pembezoni mwa nchi ili kupunguza uhaba wa wataalamu hao unaokadiriwa kuwa ni zaidi ya asilimia 50. Upungufu…

Read More

MRADI WA TAZA KUUNGANISHA UMEME AFRIKA- DKT. BITEKO

-Aitaka TANESCO Kusimamia Mradi kikamilifu -Ataka Wakandarasi wazembe Wachukuliwe Hatua – TAZA kuiwezesha Rukwa kupata umeme wa gridi Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Serikali imesema kuwa mradi mkubwa wa usafirishaji umeme unaohusisha ujenzi wa njia ya kusafirisha umeme wa msongo wa kilovoti 400 kutoka Iringa hadi Sumbawanga na kuunganisha Tanzania…

Read More